Laptop zinauzwa:

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
644
1.HP pavilion dv6000,Duo,250gb ram,dvd rw,webcam,wlan, Tshs:820,000

2.HP Compaq v6000,Duo,160 gb,2gb ram,dvd rw,webcam,wlan,Tshs.680,000

3.HP Pavilion tx 1000,Duo,120gb,1.5 gb ram,dvd rw,wlan,webcam Tshs.630,000

4.HP .Compaq nc 6120,PM ,60GB,1GB RAM,DVD RW,WLAN,Tshs 500,000.

5.Fujitsu V5535,Duo,120GB,2GB RAM,DVD RW,WLAN Tshs.580,000.
 
Mh! naona kama ziko juu kwa kuwa ni used nilitegemea zisizidi 500k, hata hivyo ngoja wataalamu zaidi watujuze. Hii ni pamoja na VAT?!?!?. Risiti halalli ya TRA ipo?.
 
Mkuu hakuna hata moja uliyo ainisha processor speed. ingekuwa vema kuweka wazi kuliko kusema tuu duo...labda processor speed ziko juu ndio maana bei nazo ziko juu ukizingatia ni used.
 
1.HP pavilion dv6000,Duo,250gb ram,dvd rw,webcam,wlan, Tshs:820,000

2.HP Compaq v6000,Duo,160 gb,2gb ram,dvd rw,webcam,wlan,Tshs.680,000

3.HP Pavilion tx 1000,Duo,120gb,1.5 gb ram,dvd rw,wlan,webcam Tshs.630,000

4.HP .Compaq nc 6120,PM ,60GB,1GB RAM,DVD RW,WLAN,Tshs 500,000.

5.Fujitsu V5535,Duo,120GB,2GB RAM,DVD RW,WLAN Tshs.580,000.



Za kichina?
 
Ntafutie apple fx,2 processor, achana na hzo hp!alaf ukipata toa contact.

Pole kwa kuponda.
Nimetumia HP Pavilion DV Series ni mwaka wa 4 sasa na bado inapiga mzigo kuliko maelezo, usiwakatishe tamaa wenye kutaka kunua. Sio kila mtu ana uwezo wa kununua laptop mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom