blessed one
Member
- Apr 14, 2011
- 10
- 3
kwanza inazima ukiwa unafanya nini alafu uwa ina tabia ya kupata moto!? na inazima baada ya mda gani ukiwasha au ukitumia au usipo itumia?Nina laptop yangu aina ya Toshiba satellite betri lake limeharibika siku c nyingi kwahiyo natumia moja kwa moja toka kwenye umeme. Sasa hivi imekuja na tatizo jipya ambalo ni kuzima ghafla lakini ukiiwasha inawaka kama kawaida. Ni tatizo ambalo halitokei mara kwa mara ila co mara moja nimekutana na jambo hlo nyakati tofauti. na wakati mwingine naweza nikaitumia kwa masaa mengi na isifanye hivyo. Naombeni msaada wenu wana jamvi
Feni mbovu haipozi vizuriNina laptop yangu aina ya Toshiba satellite betri lake limeharibika siku c nyingi kwahiyo natumia moja kwa moja toka kwenye umeme. Sasa hivi imekuja na tatizo jipya ambalo ni kuzima ghafla lakini ukiiwasha inawaka kama kawaida. Ni tatizo ambalo halitokei mara kwa mara ila co mara moja nimekutana na jambo hlo nyakati tofauti. na wakati mwingine naweza nikaitumia kwa masaa mengi na isifanye hivyo. Naombeni msaada wenu wana jamvi
haina wakat maalum nnaweza nikakaa hata cku kadhaa isizime ila inaweza tokea cku nimewasha nmeitumia kidogo ikazima. Joto ililonalo nikitumia sio kubwa ni joto la kawaida kama lilivyokuwa mwanzokwanza inazima ukiwa unafanya nini alafu uwa ina tabia ya kupata moto!? na inazima baada ya mda gani ukiwasha au ukitumia au usipo itumia?
Kwenye connection wa kipande cha waya cha adapter na pc kunapigaga vikelele flan mara kwa mara cjajua ni vya nn. na nikikonect kwenye stablilizer, stablilizer huwa inapiga kelele.Nakubaliana na hoja za wataalam hapo juu ila kumbuka kama battery imekufa na umeunga moja kwa moja ina maana ikitokea umeme ukacheza kidogo tu lazima izime. Vilevile kama kuna lose connection ya adaptor iwe kwenye main socket au kwenye laptop yenyewe nayo inaweza kua sababu ya tatizo.
Kwenye connection wa kipande cha waya cha adapter na pc kunapigaga vikelele flan mara kwa mara cjajua ni vya nn. na nikikonect kwenye stablilizer, stablilizer huwa inapiga kelele.
dah thaks mkuu!! ngoja nilifanyie ufumbuziSamahani kwa kuchelewa kukujibu, huenda hiyo adapter/charger ikawa inatatizo na ndio iliyoiua battery ya mwanzo. Jaribu kwanza kupata adapter nyingine ujaribu kuitumia uone kama itakupa matokeo hayo hayo ya kuzima ghafla.
dah thaks mkuu!! ngoja nilifanyie ufumbuzi
Samahani, Dell yako ni model gani mkuu (umesema PC sijajua unamaanisha desktop au laptop) kwa kawaida laptop hua zina feni ndogo kwa ndani ambayo husaidia kupunguza joto na hasa kama cumputer inatumika kwenye mazingira yasiyokua na AC hiyo feni ikiharibika ndio hapo tatizo la overheat linatokea.Asante kwa hoja. na hasa asante nying iendee kwa Samaritan . Nina tatizo kama lako na Dell PC yangu iko old kidogo-nika badili kwa kuweka Adapter mpya lakini wapi tatizo linaendelea!. Nitajaribu wazo la kuwa na Feni kwa nje-maana ni kweli ilikuwa inapata Moto na kabla ya kuzima ilikuwa inakaa dakika kama 15. Nimechoka mpaka natamani kuisusa!
Samahani, Dell yako ni model gani mkuu (umesema PC sijajua unamaanisha desktop au laptop) kwa kawaida laptop hua zina feni ndogo kwa ndani ambayo husaidia kupunguza joto na hasa kama cumputer inatumika kwenye mazingira yasiyokua na AC hiyo feni ikiharibika ndio hapo tatizo la overheat linatokea.
jaribu kuweka heat cooling compound also chek na ram sometime hata os inaweza kuleta hilo tatizo.Nina laptop yangu aina ya Toshiba satellite betri lake limeharibika siku c nyingi kwahiyo natumia moja kwa moja toka kwenye umeme. Sasa hivi imekuja na tatizo jipya ambalo ni kuzima ghafla lakini ukiiwasha inawaka kama kawaida. Ni tatizo ambalo halitokei mara kwa mara ila co mara moja nimekutana na jambo hlo nyakati tofauti. na wakati mwingine naweza nikaitumia kwa masaa mengi na isifanye hivyo. Naombeni msaada wenu wana jamvi