Laptop updates

Zamaulid

JF-Expert Member
May 25, 2009
18,653
13,474
Nime update laptop na kila nikiwasha inagoma inasema ime start vibaya itafanya auto restart na mchezo unaishia hapo...naomba msaada kwa wataalam

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Nime update laptop na kila nikiwasha inagoma inasema ime start vibaya itafanya auto restart na mchezo unaishia hapo...naomba msaada kwa wataalam

"corona ipo tuchukue tahadhari"
Ikizimika pale inapotaka kuwaka shikilia F8, chagua safe mode, ikiwaka safe mode then fanya diagnosis kama ni kwa ku run sysdm.cpl ili kufungua system properties itayokusaidia kuondoa auto restart then ufanye diagnosis zingine na restoration. Uzuri wake windows kabla ya kuji update inasave system backup.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nime update laptop na kila nikiwasha inagoma inasema ime start vibaya itafanya auto restart na mchezo unaishia hapo...naomba msaada kwa wataalam

"corona ipo tuchukue tahadhari"
Ume update laptop au mfumo uliomo?

Ni aina gani ya laptop na ni mfumo upi uliomo?

Hebu leta tukufanyie googling ya how to fix your issue

Kama ni Windows yaweza kukupeleka pia kwenye early restore points ukatumia kufix da issue.

Sent from my cupboard using mug
 
Ikizimika pale inapotaka kuwaka shikilia F8, chagua safe mode, ikiwaka safe mode then fanya diagnosis kama ni kwa ku run sysdm.cpl ili kufungua system properties itayokusaidia kuondoa auto restart then ufanye diagnosis zingine na restoration. Uzuri wake windows kabla ya kuji update inasave system backup.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ok, sawa mkuu nilikuwa sijaona comment yako.

Mhanga hebu jaribu hiyo ushauri ya jamaa uone utafikia wapi.

Sent from my cupboard using mug
 
Mimi kitu nafanyaga huwa ni system image backup, hiyo huwa haifeli 100℅

Pc ikileta shida nareplace with system image, kazi kwisha.

Lakini system restore points siyo za kuamini sana kwa sababu huwa zinafeli wakati mwingine.

Sent from my cupboard using mug
 
Mimi kitu nafanyaga huwa ni system image backup, hiyo huwa haifeli 100℅...
Hatari ni kuwa na drive c ambayo ipo full ama karibu na kujaa. Ikifikia hatua hiyo restore point files zinahifadhiwa kwenye sectors ambazo zimewahi tumika ama zisizo na ubora.

Hapa ukirestore lazima izingue. Rule of thumb - hakikisha drive yenye windows ina at least 30gb empty space baada ya kuweka windows na all softwares.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Pia hata kama drive c haijawa full kuna baadhi ya program zinazosababisha restoration isifanikiwe.

Mfano mimi nikiwaga nimeinstall ZoneAlarm kisha PC ikaleta shida nikataka kufanya restoration huwa haifanikiwi hata kama nitaing'oa hiyo ZoneAlarm.

Hivyo hubidi nifanye recovering with system image.

Ukitaka uone raha ya hiyo kitu, install windows yako, kisha weka programu zako pendwa na mambo yako pendwa halafu tengeneza system image backup kabla pc haijapata shida yoyote kisha tunza kwenye external storage.

Sasa endelea kutumia pc yako, na kama umeongeza kitu kizuri na bado pc yako unaona iko safi, fanya tena system image backup kwa kureplace ile iliyopo kwa kutegemea ukubwa wa external storage yako.

Utafurahia na kuepuka kunitafuta mara kwa mara ili nikusaidie

Sent from my cupboard using mug
 
Pia hata kama drive c haijawa full kuna baadhi ya program zinazosababisha restoration isifanikiwe.

Mfano mimi nikiwaga nimeinstall ZoneAlarm kisha PC ikaleta shida nikataka kufanya restoration huwa haifanikiwi hata kama nitaing'oa hiyo ZoneAlarm.

Hivyo hubidi nifanye recovering with system image.

Ukitaka uone raha ya hiyo kitu, install windows yako, kisha weka programu zako pendwa na mambo yako pendwa halafu tengeneza system image backup kabla pc haijapata shida yoyote kisha tunza kwenye external storage.

Sasa endelea kutumia pc yako, na kama umeongeza kitu kizuri na bado pc yako unaona iko safi, fanya tena system image backup kwa kureplace ile iliyopo kwa kutegemea ukubwa wa external storage yako.

Utafurahia na kuepuka kunitafuta mara kwa mara ili nikusaidie

Sent from my cupboard using mug
Mkuu ingependeza kama ungetupa na steps za kufanya hiyo system image backup
 
Pia hata kama drive c haijawa full kuna baadhi ya program zinazosababisha restoration isifanikiwe.

Mfano mimi nikiwaga nimeinstall ZoneAlarm kisha PC ikaleta shida nikataka kufanya restoration huwa haifanikiwi hata kama nitaing'oa hiyo ZoneAlarm.

Hivyo hubidi nifanye recovering with system image.

Ukitaka uone raha ya hiyo kitu, install windows yako, kisha weka programu zako pendwa na mambo yako pendwa halafu tengeneza system image backup kabla pc haijapata shida yoyote kisha tunza kwenye external storage.

Sasa endelea kutumia pc yako, na kama umeongeza kitu kizuri na bado pc yako unaona iko safi, fanya tena system image backup kwa kureplace ile iliyopo kwa kutegemea ukubwa wa external storage yako.

Utafurahia na kuepuka kunitafuta mara kwa mara ili nikusaidie

Sent from my cupboard using mug
aisee toka nimewanza kutumia wwindows 10 yani nimesahau masuala ya kupiga window kila mara, nilinunua PC ikaja preinstalled windows 10 huu mwaka wa 2 naelekea wa 3 sijawahi shusha windows na naiacha iupdate jinsi inavyotaka tu sina habari na wala siizuii.

Halafu aiyesema ashikilie F8 aingie safe mode, sidhani kama windows 10 inakubali hiyo option
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom