Mkuu swali lako lipo open mno, jaribu kuwa specific unahitaji kwa matumizi gani, bajeti yako inarange kwenye sh ngapi nk.Habari wapendwa! Nataka kununua laptop ila sio mtaalamu so naomben mnisaidie specifications za laptop ya kisasa na aina nzur ya laptop nawasilisha
nafkir ni used maanaMkuu swali lako lipo open mno, jaribu kuwa specific unahitaji kwa matumizi gani, bajeti yako inarange kwenye sh ngapi nk.
Kwasababu ukisema tu laptop ya kisasa nzuri utatajiwa mac book hadi m3 na kuendelea
nafkir ni used maana
nina kama laki tano nataka kwa matumizi ya kawaida na binafsi kama kusurf internet