Nina laptop HP ProBook. Herufi za mwisho mkono wa kulia na kushoto kwenye keyboard hazifanyi kazi. Hii nimesababishwa na nini??
Nisaidieni wataalamulaptop
hiyo itakuwa keyboard faulty au boot na press F2 uende kwenye UEFI diagnosis tool,scrow down kwenye keyboard hujaribu kutest.Itakupa taarifa.AU jaribu kuisafisha kwa kutumia brush.