Mwezi huu nina kamshiko kadogo nakatarajia,moja wapo ya budget zangu ni laptop..maana sometimes nakuwa na mareport yangu ofisini inanilazimu nichelewe kutoka while ningeenda tu kumalizia home.si mtaalam wa brand zipi best,wala toleo..sana sana nachotamani iwe na uwezo wa kukaa na charge kwani mdogo wangu ana toshiba .... yaani ni mpya but haikai na charge..mara nyingi unaitumia charger ikiwa karibu..na pia kwenye moderm ni go kwa type gani ya modern for internet?