laptop gani nzuri na ntapata wapi kwa sh ngapi approximately?

laptop gani nzuri na ntapata wapi kwa sh ngapi approximately?

Nikuambie ukweli kutokana na experience ya muda mrefu ya laptops, Brands bora kwa sasa kwa laptops zinazotumia Operating system ya Windows ni hizi hapa katika mfululizo wa kuanzia ya kwanza mpaka ya mwisho ni HP, Toshiba, Dell, Samsung, Lenovo. Hata kwa mauzo mwaka jana 2012, HP waliongoza kwa Kampuni zilizofanya mauzo mengi sana ya laptop na bidhaa nyingine. Watu wanalalamikia HP either itakua alipata mbovu wakati ananunua au sio genuine. Lakini katika kampuni ambazo wanauza Quality laptops ni HP, hata ukiangalia kwenye maduka mengi ya laptops bei za HP laptops ziko juu ukilinganisha na zingine, Toshiba nayo ni hivyo hivyo, Dell wamekuwa wakilalamikiwa hata duniani kuwa ubora umepungua ukilinganisha na ilivyokuwa zamani, na hio pia ikasababisha mauzo yake kushuka sana mwaka jana, HP wana historia ya Ubora kitambo sana na wame-maintain hio standard. HP, Toshiba na Samsung wako vizuri. kuna HP Probook 4530s au HP Probook 4555 ziko zinapatikana kwa bei kama yako unayotaka ya laki saba, inakaa na charge zaidi ya masaa 5 ikiwa inatumika, speed nzuri kabisa na ina uwezo mkubwa wa kuhifadhi data. Ukitaka laptops nzuri na kama upo Dar es salaam, tembelea duka moja liko Posta ndani ya jengo la JM Mall, linaitwa Freedom Communications. Wana laptops za brands nyingi na bei zao ni nzuri ukilinganisha na maduka mengi sana mjini.

Kwa HP mkuu product ipi naweza pata ambayo ipo recent kwa sh laki tisa.,ukinitajia model na specification zake itakuwa vizuri zaidi
 
natumia dell latitude e5530 ni mashine fresh, betri yake inakaa mpaka masaa sita kama unafanya kazi za kawaida, ukiongeza kamziki kwa mbali inakaa masaa 4 mpaka 4.5 ina option ya kuweka betri ya pili (87,90 0r 97Whr), 97Whr ikiwa full charged, utaitumia computer siku nzima bila kuhitaji kuconnect kwenye umeme. naipenda hii computer cause ninapokuwa field sina wasiwasi wowote.

mkuu epson, nipe ujuzi wa kuicharge kwenye umeme, plz inaonekana unajua kuicharge bila kuharaibu berty charge system, tume ujuzi
 
Kwa HP mkuu product ipi naweza pata ambayo ipo recent kwa sh laki tisa.,ukinitajia model na specification zake itakuwa vizuri zaidi

Kaka chukua any of the HP Elitebook Models, ni nzuri sana na mashine ngumu
zipo za Core i3, i5 au i7 2.4ghz, RAM 4GB, 500 up to 750 HDD, Webcam, HDMi, blue ray rom, memory card reader, unapata kwa hio bei ya laki 9 mpaka milioni moja. Kuna duka liko opposite na JM Mall, nimesahau jina lake ila ukifika tu hapo, utaliona lipo barabarani kabisa.
 
wakuu je n busara kununua mtumba ambao uko poa, mfn hp mitumba View attachment 93201


Kuna maduka wanauza mtumba ambazo ni nzuri kabisa, kama mpya kabisa, nishanunua kama mara 3 za aina hio na hazijawahi nisumbua na zote zilikua HP, cha msingi ni kuwa makini na details na duka unaloenda nunua, si kila duka ni zuri, Duka ambalo na-recommend kwa mtumba mzuri ni Duka moja jina nalisahau ila lipo opposite na JM Mall, nishanunua sana laptops hapo mtumba na wanakupa warranty ya mwaka mzima. Wana HP models kali sana mpya na refurbished. na bei nafuu.
 
mac bajeti yake inacheza ngap mpaka ngap!mpya ktk maduka hapa dar?watumiaji wa mac mtusaidie
 
mkuu epson, nipe ujuzi wa kuicharge kwenye umeme, plz inaonekana unajua kuicharge bila kuharaibu berty charge system, tume ujuzi

ninachojua mimi ni kwamba battery ikiwa fully charged (100%) haf ukaendelea kutumia umeme (from main power) utakuwa unaiharibu battery, when fully charged it is good to unplug your laptop from its AC adapter so that the machine will be using power from the battery thereby discharging the battery until when the battery reaches 10% when your recommended to re-plug. this is okay when your doing light tasks, for heavy tasks use power from AC adapter.

kwamba battery itafanya kazi kwa masaa mangapi itagemea aina ya battery na nani ameitengeneza
kwa kifupi ni kwamba
  • 4-cell battery ( e.g 44 or 48 Wh used in most laptops) inaweza supply power kwa masaa 1.5 - 3
  • 6-cell battery (e.g 60Wh) - masaa 4- 5
  • 9-cell battery ( e.g 87,90, 97 Wh) - masaa 8-10

the point is that: more cell more power
sijui kama nimelijibu ombi lako
 
Kuna maduka wanauza mtumba ambazo ni nzuri kabisa, kama mpya kabisa, nishanunua kama mara 3 za aina hio na hazijawahi nisumbua na zote zilikua HP, cha msingi ni kuwa makini na details na duka unaloenda nunua, si kila duka ni zuri, Duka ambalo na-recommend kwa mtumba mzuri ni Duka moja jina nalisahau ila lipo opposite na JM Mall, nishanunua sana laptops hapo mtumba na wanakupa warranty ya mwaka mzima. Wana HP models kali sana mpya na refurbished. na bei nafuu.

mkuu izo hp mitumba range ya bei yake inaanzia ngapi had ngap?
 
Kuna maduka wanauza mtumba ambazo ni nzuri kabisa, kama mpya kabisa, nishanunua kama mara 3 za aina hio na hazijawahi nisumbua na zote zilikua HP, cha msingi ni kuwa makini na details na duka unaloenda nunua, si kila duka ni zuri, Duka ambalo na-recommend kwa mtumba mzuri ni Duka moja jina nalisahau ila lipo opposite na JM Mall, nishanunua sana laptops hapo mtumba na wanakupa warranty ya mwaka mzima. Wana HP models kali sana mpya na refurbished. na bei nafuu.

mkuu ukikumbuka adress adress na jina sahihi te,, me mkuu
 
Brand zote kubwa zina laptop katika range tofauti, kutoka basic hadi pro yenye specs kali zaidi so inategemea ni nini unataka kufanya na hiyo laptop.

Kwa kifupi get at least 4GB of RAM na kuwe na suppory ya at least 8 GB, kama unahitaji kucheza 3D games chunguza ina graphics card gani kisha angalia reviews zake online, mambo mengine ya size, weight ni juu yako.

Freedom communications paple JM mall wana options nyingi, nina price list somewhere hapa, nikiipata nitascan nibandike.
 
wakuu asanteni sana kwa taarifa, nami nilihitaji sana machine na inaonekana hp anaongoza ktk ubora!
 
Laptop waweza pata kwa bei nzuri sana, Binafsi napenda Apple Macbook ila ni gharama kidgo. kwa laptop used za bei nzuri waweza cheki kwenye hii tovuti www.inauzwa.com nimeona bidhaa nyingi humu kwa bei nzuri.
 
Price List ya Freedom Communications
Rfr0iku.jpg
 
dell zile za zamani latitude wako vizuri kwenye charge ila kwa ubora kwa ujumla na uzoefu wangu japo ni aghali ila compaq -presario c700 au nyinginezo ukiipata ina ni bora sana...O>G lakini na feki ni nyingi pia kuwa makini...na kitu hapa natumia ni mwaka wa sita hainashida kabisa na inatumika masaa zaidi tya 14 kila siku...
 
Back
Top Bottom