Laptop gani ni nzuri kwa coding na programming kwa bei nafuu?

Laptop gani ni nzuri kwa coding na programming kwa bei nafuu?

Inategeme mkuu unacode nn mfano Kama unafanya development ya app upande wa iOS ni vizuri ukawa na Mac PC hii nimeona kwenye testing ya flutter app upande wa iOS ingekua poa Kama ningekua na Mac computer tofauti na hapo mkuu ni PC yeyote tu hata usiwaze kikubwa ram iwe ya kutosha Kama una development ya app ku run emulator inataka ram Anza na 8 gb itakua poa
 
Salaam wakongwe ni laptop gani ambayo ni nzuri kwa coders na programmers na kwa bei nafuu?

Na swali lingine ni kwamba naweza pata kwa range ya ngapi

Natanguliza shukranj

Kwako bei nafuu ni shilingi ngapi?

Wewe sema mfano nina laki 9, watu wakutajie kulingana na bajet

Kuna watu humu hata 2m ni nafuu kwao
 
Budget ni around 1.8M maana nimeenda duka moja wamenionesha ma XPS ya 5M duh
1.8m tafuta core i3 gen ya 12, ndio zinatoka na mtaani sio nyingi. Kama unaweza agizishia online website kama Amazon.

Hizi overall itakupa perfomance na ukaaji charge.

Kama ukaaji charge sio priority Ryzen 5 5000/6000 series ama core i5 H series gen za karibuni utapata machine nzuri perfomance kubwa ila ukaaji chaji wa kawaida.

Pia Used ni option incase hutaki kuspend budget yote,

Thinkpad yoyote gen ya 8 kupanda ikiwa na Dedicated gpu hata lowend kama Mx 250 kupanda inafaa. Thinkpad zina support nzuri sana ya Linux na pia Ni imara kwa mazingira yetu.
 
Kwanza coding na hacking inakera ndio maana wanaotoboa ni wachache, wenye uvumilivu

Just imagine una deal na kitu hakina picha wala rangi- Mr Robot
Ni ubao mweupe na maandishi meusi
Sidhani kama aina ya pc itakuwa kigezo

Programmer wengi wanatumia macbook ila bei zake kwa upande wa huku kwetu ndio changamoto kwa wengi

Nnakwambia hivi kwa nikiwa na maana.
Sidhani kama kuna limitation wanaweka kwenye kuinstall vitu kama atom, pycharm, hyper, node, Oracle vM, Git bash, GitHub nk, Tumia Pc yoyote cha msingi kuwa na moyo wa kuendelea mbele
 
Jaribu hP elitebook 820 g4

g4-7th generation.
Battery wanasema inakaa masaa matano ila sikuwahi kuhakiki

Ram upgradable to 32 gb
Inakuwa na sehemu ya SSD up512gb-recommend maana inakuwa faster tofauti na hdd
HDD 1TB
64-bit
Core i5
CPU @2.6ghz upto 3.5ghz with intel turbo speed

Windows 10 proffesional
Zanzibar wanasema bei ziko chini
Sema usiagize mtandaoni utapigwa
 
hakikisha una pc nzuri maana kuna app ukiwa na pc za kimagumashi hziamki mzee yaaani zinakua ni kisanga sana
 
Jaribu hP elitebook 820 g4

g4-7th generation.
Battery wanasema inakaa masaa matano ila sikuwahi kuhakiki

Ram upgradable to 32 gb
Inakuwa na sehemu ya SSD up512gb-recommend maana inakuwa faster tofauti na hdd
HDD 1TB
64-bit
Core i5
CPU @2.6ghz upto 3.5ghz with intel turbo speed

Windows 10 proffesional
Zanzibar wanasema bei ziko chini
Sema usiagize mtandaoni utapigwa
Kkoo inauzwaje hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom