WAdau nimepokea simu jioni hii interview LAPF dodoma jumamosi kaeni karibu na simu zenu
Umeitwa post gani mdau?
WAdau nimepokea simu jioni hii interview LAPF dodoma jumamosi kaeni karibu na simu zenu
Ni kweli kaka. Habari yako hii haina hata chembe ya uzushi. People stay tune..
WAdau nimepokea simu jioni hii interview LAPF dodoma jumamosi kaeni karibu na simu zenu[/QUOTE
Umepewa maelezo ganı ,Iyo ıtakua Oral au wrıtten tena??? Isıje ıkawa kama mambo ya PPF
WAdau nimepokea simu jioni hii interview LAPF dodoma jumamosi kaeni karibu na simu zenu
Interview itafanyika lini?.
Ni oral interview wamenambia DODOMA jumamosi sa2 na nimeitwa post ya compliance officer wamenambia niende na origional certificate only!
Ni oral interview wamenambia DODOMA jumamosi sa2 na nimeitwa post ya compliance officer wamenambia niende na origional certificate only!
Mie kuna jamaa yangu kaitwa Oral lakin kwenye written hakuitwa kabisa....hapa nashindwa kuelewa
Mie kuna jamaa yangu kaitwa Oral lakin kwenye written hakuitwa kabisa....hapa nashindwa kuelewa