DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
wakuu
=====
huyu Yamal kweli ni bwana mdogo amemsahu hata pele???
Nyota chipukizi wa FC Barcelona, Lamine Yamal, ameibua mjadala mzito mitandaoni baada ya kutangaza kikosi chake cha ndoto (all-time XI), kikosi ambacho kimejaa mastaa waliotawala enzi za tiki-taka na mafanikio makubwa ya klabu hiyo ya Katalunya.
Kikosi hicho kimezua mjadala mkubwa mitandaoni, mashabiki wengine wakishangaa kuona nyota kama Eto’o akikosekana.
kwa mujibu wa chapisho la mtandao maarufu wa soka 433, kinda wa fc barcelona na timu ya taifa ya uhispania, lamine yamal, ametaja kikosi chake cha ndoto cha wachezaji bora kuwahi kutokea kwenye historia ya soka, na majina yaliyochomoza yamewasha moto mkubwa mitandaoni!
lamine yamal, mwenye umri wa miaka 17 pekee, ameonesha upendo wake mkubwa kwa mastaa waliowahi kutamba barcelona na real madrid – jambo lililozua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki.
kikosi chake ni kama ifuatavyo (formation 3-4-3):
🧤 golikipa: iker casillas (hispania / real madrid)
🛡 walinzi: marcelo (brazil / real madrid) sergio ramos (hispania / real madrid / psg) gerard piqué (hispania / barcelona) dani alves (brazil / barcelona)
⚙️ kiungo:
zinedine zidane (u faransa / juventus / real madrid
neymar jr (brazil / barcelona / psg / al-hilal)
lionel messi (argentina / barcelona / psg / inter miami)
⚡️ washambuliaji:
cristiano ronaldo (portugal / man utd / madrid / juve / al-nassr)
ronaldo nazário (brazil / barcelona / inter / madrid)
ronaldinho (brazil / barcelona / milan)
wengi wamepongeza uchaguzi huu, wakiuita "timeless", huku wengine wakikosoa kutokuwepo kwa mastaa kama pele, maradona, xavi au iniesta.
=====
huyu Yamal kweli ni bwana mdogo amemsahu hata pele???
Nyota chipukizi wa FC Barcelona, Lamine Yamal, ameibua mjadala mzito mitandaoni baada ya kutangaza kikosi chake cha ndoto (all-time XI), kikosi ambacho kimejaa mastaa waliotawala enzi za tiki-taka na mafanikio makubwa ya klabu hiyo ya Katalunya.
Kikosi hicho kimezua mjadala mkubwa mitandaoni, mashabiki wengine wakishangaa kuona nyota kama Eto’o akikosekana.
kwa mujibu wa chapisho la mtandao maarufu wa soka 433, kinda wa fc barcelona na timu ya taifa ya uhispania, lamine yamal, ametaja kikosi chake cha ndoto cha wachezaji bora kuwahi kutokea kwenye historia ya soka, na majina yaliyochomoza yamewasha moto mkubwa mitandaoni!
lamine yamal, mwenye umri wa miaka 17 pekee, ameonesha upendo wake mkubwa kwa mastaa waliowahi kutamba barcelona na real madrid – jambo lililozua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki.
kikosi chake ni kama ifuatavyo (formation 3-4-3):
🧤 golikipa: iker casillas (hispania / real madrid)
🛡 walinzi: marcelo (brazil / real madrid) sergio ramos (hispania / real madrid / psg) gerard piqué (hispania / barcelona) dani alves (brazil / barcelona)
⚙️ kiungo:
zinedine zidane (u faransa / juventus / real madrid
neymar jr (brazil / barcelona / psg / al-hilal)
lionel messi (argentina / barcelona / psg / inter miami)
⚡️ washambuliaji:
cristiano ronaldo (portugal / man utd / madrid / juve / al-nassr)
ronaldo nazário (brazil / barcelona / inter / madrid)
ronaldinho (brazil / barcelona / milan)
wengi wamepongeza uchaguzi huu, wakiuita "timeless", huku wengine wakikosoa kutokuwepo kwa mastaa kama pele, maradona, xavi au iniesta.