Juakalee
Member
- Oct 3, 2018
- 69
- 17
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kesho inaanza siku tatu za lala salama kwenye zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Uwekaji wazi wa Daftari la Awali Tanzania Zanzibar na Mikoa 14 ya Tanzania Bara.
Hii ndio kusema kwamba Tume ipo kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Video iliyopostiwa kwenye IG page ya Tume hiyo inamnukuu Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akisema kwamba tahadhari zote zimechukuliwa kujikinga na Covid- 19 wakati wa zoezi hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio kusema kwamba Tume ipo kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Video iliyopostiwa kwenye IG page ya Tume hiyo inamnukuu Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akisema kwamba tahadhari zote zimechukuliwa kujikinga na Covid- 19 wakati wa zoezi hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app