Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,445 Oct 2, 2011 #81 FFU kwa nn hawakumpiga japo virungu 2 apate displini kidogo.
Ng'wanangwa JF-Expert Member Aug 28, 2010 10,827 4,172 Oct 2, 2011 #82 kudadadadeki.........wamekata umeme. sasa nasikiliza redio kupitia simu. kupata habari ni haki yangu ya msingi. mapambano yanaendelea.
kudadadadeki.........wamekata umeme. sasa nasikiliza redio kupitia simu. kupata habari ni haki yangu ya msingi. mapambano yanaendelea.
C change123 Member Oct 8, 2010 65 23 Oct 2, 2011 #83 Huyu mke wa CCM (CUF)anafujo!! mmewe amemchosha nini? anajikomba kwa chama DUME (CDM) wameanza kuvaa combat. mmh
Huyu mke wa CCM (CUF)anafujo!! mmewe amemchosha nini? anajikomba kwa chama DUME (CDM) wameanza kuvaa combat. mmh
FREDRICK KIMARO Member Aug 15, 2011 39 3 Oct 2, 2011 #84 hayo cccb ni kawaida yaho kuzichapa hata hapa musoma 2010 mgombea wao wa umbunge alishuka jukwaani akazichapa kwa hiyo sishangai.
hayo cccb ni kawaida yaho kuzichapa hata hapa musoma 2010 mgombea wao wa umbunge alishuka jukwaani akazichapa kwa hiyo sishangai.
ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,650 Oct 2, 2011 #85 Najaribu kuvuta sura za watu ambao nawajua ni majambazi na kuzilinganisha na ya huyu jamaa, lol... napata wakati mgumu kutofautisha!
Najaribu kuvuta sura za watu ambao nawajua ni majambazi na kuzilinganisha na ya huyu jamaa, lol... napata wakati mgumu kutofautisha!
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Oct 2, 2011 #86 Mungu ni mkubwa! Ametuonesha tabia halisi ya huyu jamaa siku ya mwisho!!!!
S SEAL Team 6 JF-Expert Member Jun 10, 2011 655 118 Oct 2, 2011 #88 fmpiganaji said: Akili zake ni kama za livingstone lusinde. Click to expand... Ha ha... ni kama za Aeshi Jambazi sugu la huko Sumbawanga.
fmpiganaji said: Akili zake ni kama za livingstone lusinde. Click to expand... Ha ha... ni kama za Aeshi Jambazi sugu la huko Sumbawanga.
Borakufa JF-Expert Member May 26, 2011 1,503 390 Oct 2, 2011 #89 Duuh! akienda bungeni huyu hatasema funga mlango atasema funga gate!