P Pantosha JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 869 Reaction score 1,282 Apr 5, 2025 #1 Laiti siasa ingeangaliwa ku muktadha wa timu za mpira wa miguu, basi CCM tunajua uwezo wao wa kusakata soka. Timu hii ikiongozwa na nahodha machachari sana kutoka visiwa vya Zanzibar, je imetupatia matokeo tunayostahili? Au tuendelee kuipush zaidi? Kwako mdogo wangu Lucas
Laiti siasa ingeangaliwa ku muktadha wa timu za mpira wa miguu, basi CCM tunajua uwezo wao wa kusakata soka. Timu hii ikiongozwa na nahodha machachari sana kutoka visiwa vya Zanzibar, je imetupatia matokeo tunayostahili? Au tuendelee kuipush zaidi? Kwako mdogo wangu Lucas