laini ya tigo pesa inahitajika

laini ya tigo pesa inahitajika

Uzuri

Member
Joined
Dec 31, 2008
Posts
45
Reaction score
2
jamani yeyote mwenye laini ya tigo pesa,anipm tufanye biashara,naihitaji saaana.
 
si ununue line uende ukajiregiste mwenyewe. Its just matter of 5 minute
 
si ununue line uende ukajiregiste mwenyewe. Its just matter of 5 minute

ahahhaaaaaaaa hii kali ya mwaka mkuu hujamuelewa jamaa anataka ile ya uwakala sio za customer mkuu
 
ahahhaaaaaaaa hii kali ya mwaka mkuu hujamuelewa jamaa anataka ile ya uwakala sio za customer mkuu

Mkuu usishangae bana haya mambo ya tigo mpesa sio kila mtu anayafahamu na kama ndio umekuja leo Tz unapata sana shida hadi kuja kuyaelewe. So usishangae sana kaka
 
kuna mtu anauza laki 6 ya tigo pesa na laki 350 ya mpesa
 
mimi sina lakini tufafanulieni wakuu tuzifahamu na sisi izo line
 
Ukishanunua alafu mwenye nayo akienda kulalamika kwamba line yake imeibiwa au imepotea then waka swap hiyo line. Unaanzia watu kudai pesa zako?
 
Naitaji ya mpesa na tigo pesa mwenye nazo ani call 0713388226
 
Back
Top Bottom