LAINI YA M~PESA NA TIGO PESA

LAINI YA M~PESA NA TIGO PESA

babsaalum

New Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
1
Reaction score
0
Mambo wana jf naombeni kujua biashara ya hiyo kitu,kuanzia mtaji ,faida,hasara,changamoto.
Msaada wajameni
 
Nina laini ya tigo pesa nauza 150K
Kama unaitaka
 
Mambo wana jf naombeni kujua biashara ya hiyo kitu,kuanzia mtaji ,faida,hasara,changamoto.
Msaada wajameni
Faida utapata kubwa zaidi kama eneo unapoweka biashara yako wateja ni wengi .wanatoa na kuweka.
Ila mdau ukiitaji laini Tigo pesa na m pesa nichek pm chap kwa bei nzuri
 
Back
Top Bottom