Kichekesho kilichokosa viwango; linasikika tangazo la mamlaka za nchi likiwataka watu wote wanaojihusisha(tuhuma) na biashara ya madawa ya kulevya kujisalimisha polisi wenyewe...kisha wanatajwa kwa majina nao kwa muda uliopangwa wanajikwatua hasa kama wanaenda kwenye sherehe muhimu, kisha media zote zinaarifiriwa (na walengwa?) Kwamba sasa mimi fulani naelekea police kwa madaha na mapozi yote...nahakikisha kila hatua yangu inanaswa vema na kamera za waandishi
kweli hii inapaswa kuingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia