Laini kama supu ya mapupu

Wabongo Sijui tukoje. Hii ni tanzania na Sio Mexico. Tusipende kujifananisha na vitu visivyotuhusu. Tanzania na Mexico ni vitu viwili tofauti kabisa. Ndio maana bongo tunachelewa sana.
jamaa kaanzisha kitu kizuri ila hana au hajui mbinu na tahadhari. ingekuwa Mexico hao mateja tungekuta miili yao imetawanywa mji mzima. siyo busara kupiga nao picha. Mexico askari ambao huenda kukamata wauzaji hujiziba kabisa sura.
 
Wabongo Sijui tukoje. Hii ni tanzania na Sio Mexico. Tusipende kujifananisha na vitu visivyotuhusu. Tanzania na Mexico ni vitu viwili tofauti kabisa. Ndio maana bongo tunachelewa sana.
Hivi hawa baada ya picha hii walifaidikaje?
 
 

Huyu si mtu ni mapupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…