Laigwanan for 2015

Laigwanan for 2015

bucho

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
5,172
Reaction score
3,265
483379_2899429084110_1211888716_32653549_658788707_n.jpg
 
Rais atakayekuja angalau Kuokoa Maisha ya Watanzania kwa Kiasi fulani
 
RICHMOND! HaTUJASAHAU walichokifanya yeye na Fisadi mwenzake Kikwete.
 
Nchii ina wazembe wengi nchi hii inavivu wengi!!sijui ninani wakumuokoa mwenzake!!
 
Nchii ina wazembe wengi nchi hii inavivu wengi!!sijui ninani wakumuokoa mwenzake!!

mkuu kiboko wa wazembe na wavivu ni laigwana peke yake hamna mwingine.
 
Hakuna mtu ambaye haibi Tanzania , ni wachache sana wanaoishi kwa kipato chao halali. Mwacheni mzee wa watu bwana.
 
Back
Top Bottom