REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
It was a maiden operation now its 15 tonnes per day.Usisahau ni tani mbili unusu za minofu.
It was a maiden operation now its 15 tonnes per day.Usisahau ni tani mbili unusu za minofu.
We siumeenda shule,ng'ombe nyingi za Tz hufugwa kienyeji target kubwa ni kuuza kwa ajili ya kitoweo,wafugaji wengi huuza maziwa tu kulainisha ugumu wa maishaAnd Kenya is the biggest exporter of milk. Why? Yaani mna ng'ombe wengi waliokondeana ndio maana wanatoa maziwa kidogo. Feed your cattle men!!
Hapa sio suala la ku think ujue...hauko sure piga kimya tuYaani Kuna breed inaitwa Jese huko tz ?I think Friesian ndio hutoa maziwa mengi kuliko that 'jese'
Jese ni ng'ombe wepi?Were you taught agriculture in school?
Unawafaham Hii breed ya Jersey...Forget abt jese ambayo imekaa kiswahil zaidi. ..Jese ni ng'ombe wepi?Were you taught agriculture in school?
Inaitwa Jersey Mkuu ama ulimaanisha Guernsey?
Yeah. Hiyo breed haitoi maziwa mengi kama Friesian. Maziwa yake ina butter content mob ilhali Friesian hutoa maziwa mengi with low butter content.Unawafaham Hii breed ya Jersey...Forget abt jese ambayo imekaa kiswahil zaidi. ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv nyie wakenya ndio ni wajinga kiasi hiki?Inaitwa Jersey Mkuu ama ulimaanisha Guernsey?
Alafu unaona aje Lagos to NY tena na KQ?It was a maiden operation now its 15 tonnes per day.
Hasa Kwani hujui butter nayo ni mali?Yeah. Hiyo breed haitoi maziwa mengi kama Friesian. Maziwa yake ina butter content mob ilhali Friesian hutoa maziwa mengi with low butter content.
Atleast unalewa kuna mwenzako anauliza ujinga tu hapaYeah. Hiyo breed haitoi maziwa mengi kama Friesian. Maziwa yake ina butter content mob ilhali Friesian hutoa maziwa mengi with low butter content.
Ukikosolewa na kuelimishwa unamuita Mwalimu mjinga?
We unajua umbea tu ng'ombe uliwaonea wapUkikosolewa na kuelimishwa unamuita Mwalimu mjinga?
Wewe ulisoma agr sec school?Yeah. Hiyo breed haitoi maziwa mengi kama Friesian. Maziwa yake ina butter content mob ilhali Friesian hutoa maziwa mengi with low butter content.
Baadhi ya shule ndio zina fundisha agr uku TZ, shule niliosoma ilo somo halikuepoHivi vitu tulisoma kidato cha kwanza.
Tulia acha pupa bibi wewe,Masomo ya ordnary level yako mengi sana na form 4 mwisho wa kufanya mitihani ni kumi tu sio zaidi! !You people need to be serious. You live in an agrarian society and agriculture is not taught in some schools? No wonder you are always behind in everything.
Basi acha kuhemka ovyoovyo. Kila shule inafunza agri huku hadi kidato cha pili.Baada ya haTulia acha pupa bibi wewe,Masomo ya ordnary level yako mengi sana na form 4 mwisho wa kufanya mitihani ni kumi tu sio zaidi! !
Usitake kujifanya Kenya kila shule inafundisha kila somo is sec
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hadi kidato cha pili we kwel mgonjwaBasi acha kuhemka ovyoovyo. Kila shule inafunza agri huku hadi kidato cha pili.Baada ya ha
Hapa Kenya. Unaweza endelea nayo au uiache. Wengi wetu tulifanya B/S shule niliyokuwa.