Ningetamani wanishtaki na mie kwa kuwauliza Clouds Group nini kiliwasukuma haraka sana "kununua" msiba na habari zote za msiba wa Ngwair? Kwa nini walikuwa wepesi kiasi kile kutafuta tiketi ya Miliard Ayo ili kuhakikisha anawahi kule na wao ndo wanakuwa chujio na pipe la habari zote kutoka RSA kuja Tz juu ya msiba, postmortem na usafirishaji wa maiti? Na mwisho "kazi au majukumu" yao yalimfanya nini Jide cha kumsababishia kushindwa kutimiza majukumu yake ya kijinsia?