Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
Hee! Hii nayo ni thread??
Mods....have you fallen asleep??
Hii mbinu ya kuhakikisha unakuwa gumzo kwenye media ukikaribia kutoa
album au movie inatumika mno USA..
Watu wengine hufanya hata crime ili wapate matangazo ya bure ya media
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
Depends unataka nini...Hee! Hii nayo ni thread??
Mods....have you fallen asleep??
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
Jaydee aliishiwa alipoenda kupandikiza mimba,sasa anarudisha hela kwa nguvu zote,ukizingatia nyumbani pamedodambasi tena anabaki kulia lia tu biashara ushindani,watu wasianzishe bendi kisa ya machozi bend?Sam machozi ndo alimkimbia maana Jide hawalipi vizuri mshahara
Ha haaaaa nimeanza kuamini Ladyjaydee katumia akili kutengeneza pesa now
eti concert yake anauza tiketi now hadi elfu hamsini
huko nyuma hakuwahi kuuza tiketi hata elfu thelathini
sikumbuki while anafanya hivyo ana keep kuendeleza beef na clouds
so free matangazo anapata kwenye magazeti ya udaku na redio zingine
sasa akitangaza atahojiwa redio ipi watu wana pay attention wakihisi
ataongea kitu kuhusu clouds na tiketi zinauzwa kwa mgongo wa kuwakomesha clouds lol
dah........
Uko dunia gani wewe? Sam Machozi alisharudi kwa Jide, tena kwa kubembelezewa sana na mama yake. Issue nzima ilioneshwa EATV