Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Akionekana kukasirishwa na mwenendo wa clause fm Lady Jaydee ametweet haya:
"hawa wanaonajiita peoples' station(guess ni ipi) ni radio ya watu isiyopiga nyimbo za watu ila za wasanii wao tu wasiopendwa na watu;kill me if you can,am on fire siogopi ng'ooon jipangeni upya. Ni kweli nimelamba sumu lkn hainidhuru nakunywa maziwa daily I will survive...loh mnalishwa chungu na tamu vyote mnakula,vinyoka nyie nyamazen acheni Anaconda aongee".
My take:naona kama kaanzisha bifu na hawa watu atawaweza kweli?
"hawa wanaonajiita peoples' station(guess ni ipi) ni radio ya watu isiyopiga nyimbo za watu ila za wasanii wao tu wasiopendwa na watu;kill me if you can,am on fire siogopi ng'ooon jipangeni upya. Ni kweli nimelamba sumu lkn hainidhuru nakunywa maziwa daily I will survive...loh mnalishwa chungu na tamu vyote mnakula,vinyoka nyie nyamazen acheni Anaconda aongee".
My take:naona kama kaanzisha bifu na hawa watu atawaweza kweli?