Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

huyo alisha funga ndoa ila sasa anstarehe tu. Hivi alishalipa mkopo wa benki au aliuziwa dhamana zake?
 
Huyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
 
Ameshachuja...hakuna kiki tena ya kumuweka juu labda ajaribu picha za uchi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…