Kama sio mke basi asilimia kubwa ya wanawake siku hizi hawafai!
Na sisi tulioko ndani tunatamani kutoka haraka sana, na pindi mlango ukiwa wazi ni kuchomoka haraka sana bila hata kuangalia nyuma.Ndo maana watu tunaobisha hodi kuingia huko ndoani mioyo yetu iko na mashaka sana!
mkuu decruca hii ni dunia chukua hizo akili zako changanya vizuri wewe ndio wale wanawake mume akimtoka anakunywa sumu kwasabababu hujajipanga kaa ukimtegemea huyo bwana kama unagarantee ya maisha yake funguka akili weweSifa za kijinga,mwanamke mwenye kujitambua hawezi kumsifia mumewe kwa kushindwa kutolea maamuzi familia yake kama huyu!
Mmmh, tatizo la kuoana wakati mmoja anajenga Yerusalemu mwingine anajenga Yemen.
Ndo maana watu tunaobisha hodi kuingia huko ndoani mioyo yetu iko na mashaka sana!
Kaka yako ovyo. Hajui taratibu za familia. Kiongozi wa familia ni mume, period. Anatakiwa kuitunza familia yake. Kama amempa mtaji hilo ni suala zuri lakini anatakiwa amlishe na kumvisha kama vile yule mwanamke hana kazi. Huo ndio wajibu wa kiume.Huyo kaka yako amharibu familia kwa kujivua uongozi wa familia mpaka ameivunja mwenyewe. Kwetu hata kuku wanajulikana ni wa nani. Kama kuku ni wa mke wageni wa baba wakija lazima baba amuombe mkwewe amkopeshe kuku ili achinjie wageni wake (ingawa deli hilo kwa kawaida huwa halirudishwi). Hilo la baba kuchukua mshahara wa mke ni uonevu wa hali ya juuuu.Ni jana ndoa ya bro wangu ilikufa kabisa.Chanzo cha kifo cha ndoa hiyo ni baada ya bro kumfungulia mkewe biashara na kumkabidhi ili ajipatie mahitaji yake sio mpaka mumewe ampe.Lakini cha ajabu mkewe ameendelea kutoa shida zake kwa bro,bro akimuuliza mwanamke anajibu hela za dukani ni zake mke na yeye kama mume anatakiwa amhudumie tu!!!!Swala hili lilizusha ugomvi ulopelekea ndoa kuvunjika au kufa . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . Kesi za namna hii ni nyingi sana,mwanamke anahitaji haki sawa,sijui hizo haki sawa anazitafsiri namna gani.Unakuta mwanamke ni mwajiriwa au ni mjasiriamali,mshahara au hela ya biashara haionekani nyumbani,akitakiwa wagawane matumizi ya nyumbani anang'aka,anasema hayo ni majukumu ya mume!Kwa nini?Wengine inafikia mpaka gharama za vocha,saloon,nguo wanadai kwa mume wakati wana kipato,ukiwauliza wanasema mi mke wa mtu bana,biashara au kazi yangu ni yangu haihusiani na ndoa/mahusiano yangu!Sasa najiuliza hicho kipato ni cha nini?. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .Wanawake wengine wanasaka vidume wenye hela wakati wao wanajimudu sijui ili iweje!Kuna mzee mmoja,mkewe ni mwajiriwa serikalini na yule mzee ni mfanyabiashara,imebidi kutumia ubabe,mkewe akipata mshahara lazima aulete nyumbani na utanunulia mahitaji ya nyumbani mpaka uishe wote siku hiyo!Namkubali sana huyu mzee.Wakati mwingine ni bora wanawake wasiwe na kazi au kipato kwa usalama wa familia.Labda mnaweza kuniambia hizo hela mnatafuta za nini?
mariages, mariages, mariages! ukiamua kuifanya iwe hell itakuwa kweli, na ukiamua kuifanya heaven itakuwa! the two of u are the once playing that game! but this game called mariage will never give us a winner in terms of dictatorship, there IS ONLY ONE WINNER BECAUSE OF RESPECT AND THATS A HUSBAND!(hapo tupende, tusipende ndivyo MUNGU alivyoumba, daima mwanamke atakuwa chini ya mumewe.) Samahanini kama nitawakwaza fellow women coz kila ndoa na misingi,makubaliano na VISIONS zake! kamwe yangu haitakuwa yako, wala yako haitakuwa yangu! naishi kama mimi na simfuatilishi mtu NEVER!
coming to the point ya kipato cha mwanamke! we are doing alot under carpet ambazo wanaume hawafahamu, eg costs ndogondogo kama sabuni, toothbrush, vyombo,vyakula, vitu vya jikoni kwa ujumla SIJUI KAMA MY HUBBY ANAJUA VINATOKA WAPI, HUWA ANAONA SIKU ZINAKWENDA, am doing everything kuhusu nyumbani, nguo zangu na watoto na zake ni mimi. na yeye ana majukumu makubwa kunizidi eg skulfees, kujenga, service magari na fuel, etc wababa mnaelewa!
THEN WE HAVE A JOINT ACCOUNT! hiyo account iko kwa ajili ya ndugu zake na ndugu zangu! eg msiba umetokea kwetu tunachota laki 5 za mchango nk, msiba umetokea kwao we do the same, mama mkwe nakuja tunachota hapo, mama mkwe naumwa tunachota hapo and vice versa! hii account we share kudeposit kila mwezi and we dont touch it kabisa! so hakuna anayeona anaonewa kwa misingi tuliyokubaliana!
ninakubalian asana na cacico kuwa wanawake tunamatumizi madogo madogo ambayo wanaume hawajui mfano sabuni,mswaki ,vijiko ,sufuria,chupi za watoto,pads yani kuna vikorokocho kibao.
Binafsi mume wangu alikuwa anapenda kujua kila kitu ninachonunua nyumbani ,alifika mahali akanawa mikono yake maana niexpenses ndogondogo zinazogharimu kiasi fulani wanaume huwa hawapendi usumbufu watakubaliana na mimi,mfano mtto wa kike 12----17 anakufuata anasema baba naomba hela ya chupi na pads !!!!!!!!!!!ni jukumu la mama hilo hutapenda sana .
MIMI BINAFSI
Ninakiri nimekuwa msaada mkubwa sana kwa mume wangu japo amenizidi kipato yani mshahara wakeni *5 zaidi ya wangu nimekuwa nikisaidia mambo mengi yanyumbani na hata wakati mwingine hata namwekea gari mafuta ,inafika mahali hata nikamwambia mume wangu sina hela anaelewa ,na hata wakati mwingine nanipa bla kumwomba kwanini usiishi na mtu akajifeel mtumwa wako ndoa nikusaidiana nisafari sio umefika ndugu zangu ,assume leo kesho huyo bwana hayupo je utaweza ibeba familia kweli kama unataka uwe tegemezi ,dunia hii ya leo ukipata mtu akakufungulia biasharra nyanyua mikono juu ,wanawake inabidi tubadilike tusaidiane ndio heshima jamani, KUMBEBESHA MTU MZIGO INASABABISHA WANAUME WENGI WANAKUWA WEZI WE UNAKULA TU SIKU UNAONA KAKAMATWA KAFUNGWA ILA ,UNAJUA MUMEO HANAKAZI YAKUELEWEKA JITAHIDI UBEBE JAHAZI WE UNAKAA UNAPOKEA TUTUTU,
Eiyer nimeisoma hii thread yote post kwa post jamani nafikir kuna nitakao pingana nao sana tu na kuna nitakao kubaliana nao sana tu.
kwanza nianze kwa kusema hivi Eiyer haya ma thread na negativity kwa wanawake yananipa mashaka ambayo binafsi nayaweka kwenye (.......). Ukweli nilipanga nisitoe comment manake najua ningeitoa nikiwa na emotions sana lakni nimejikuta nabadilika kadiri nilivyofika mwisho.
swali la msingi sana ambalo nataka nikuulize na hili naomba unijibu mdogo wangu wa moyoni " hivi hujawah kuona wema wowote katika dunia hii alioufanya mwanamke yeyote?" kama ndiyo mbona hujawah kutuletea tumdiscuss? hili naomba unijibu tu.
Baby gfsonwin mwache tu dogo apumzike ilo swali siobsaizi yake babe