Ladies only - Win a date with Ngabu


WOW MAN!! It really worked!!! I'm geniunly impressed!!
 
out of topic-Kuna member humu ndani anaitwa DIANA DABODIFU sijui kwanini hilo jina nalipenda sana na kila mara linanifanya nifikirie hiyo 'dabo difu'
 
out of topic-Kuna member humu ndani anaitwa DIANA DABODIFU sijui kwanini hilo jina nalipenda sana na kila mara linanifanya nifikirie hiyo 'dabo difu'

This is really off topic
 
dah,,,,,GS naona umegonga senks apo juu ina maana wewe ndo umepatikana!


Afu thanks to NN nilikuwa sijui kama Gaijin ni mwanamke, sasa kutusaidia mkulu unaweza kufoward some CV ambazo zimebaki ili tuone kama due proceee ilifanyika...(unajua tena mambo ya ufisadi)
 

Hehehehe...hapana bana Semenya aka GS haku-pass background check iliyojumuisha genetic testing kuhakiki jinsia maana siku hizi bana huwezi jua...unaweza ukatoka na tranny (transgender) bila hata mwenyewe kutambua. Kuna ma tranny wazuri kushinda hata mademu wenyewe....usifanye mchezo bana. Huko tunakokwenda kubaya....
 
Hongera NN.. I like your style.. nadhani that is the best way to do it uh? kwa hivyo vijana changamkeni wekeni sera zenu.. na mkae kuangalia PMs zenu
 

Mmh,Kaizer kulikoni jamani?na huku tena,mi application yangu ni kwa mmoja tu haitabadilka kwenda kwa mwingine?by the way vigezo vya Nyani Ngabu ni cheap mno hivyo nisingwezena naye,anazungumzia eti GPA ya 3.0,aargh,anazungumzia mipira aargh!Lakini kubwa zaidi hili Semenya ndio bomba zaidi kwani wewe unaelewa bana,mambo ya He na She at a time..NN ataniweza kweli?
 
Hongera NN.. I like your style.. nadhani that is the best way to do it uh? kwa hivyo vijana changamkeni wekeni sera zenu.. na mkae kuangalia PMs zenu

Mwanakijiji kazi imekushinda???
Nilikueleza nini ukamwambie NN au umeona wivu - Yatakushinda.
 
Mwanakijiji kazi imekushinda???
Nilikueleza nini ukamwambie NN au umeona wivu - Yatakushinda.

Bi Thumni......kwani ulimtuma nini Mwanakijiji aje aniambie maana naona kabania huo ujumbe. Mimi hajaniambia kitu. Achana naye huyo...ni PM basi tuongee
 



Nimepita bila kupingwa...lol!


Annina
 
Mwanakijiji kazi imekushinda???
Nilikueleza nini ukamwambie NN au umeona wivu - Yatakushinda.


duh! bi thumuni kwa kwa kweli nilipitiwa kabisa..ila kwa vile mwenyewe yupo na PM kaziweka huru nenda kamwagie sera tu.. sidhani kama atajali kuongeza ndege kwenye kiota..
 
duh! bi thumuni kwa kwa kweli nilipitiwa kabisa..ila kwa vile mwenyewe yupo na PM kaziweka huru nenda kamwagie sera tu.. sidhani kama atajali kuongeza ndege kwenye kiota..

Ila na wewe Mwanakijiji noma sana bana...wewe unabania meseji yangu toka kwa Bi Thumni....sio freshi namna hiyo
 

Ha ha ha NN.Umenifurahisha sana..Nitafurahi kama nitafanyiwa hii test ya kujua jinsia,ha ha ha!Semenya,nimeipenda hii.
 
Ila na wewe Mwanakijiji noma sana bana...wewe unabania meseji yangu toka kwa Bi Thumni....sio freshi namna hiyo

unajua wakati nilipoipata ile message nisingeweza kuiwasilisha kwani ningeweza kujiletea mgongano wa kimaslahi...
 


oooh pole GS yaani kumbe kulikuwa na checks za namna hiyo......?
 
Mwanakijiji kazi imekushinda???
Nilikueleza nini ukamwambie NN au umeona wivu - Yatakushinda.


mmh..hizi binti thumni, ile hotuba ya mbayuwayu ilikuwa ya kuandikwa au kutoa kichwani? (sorry offtopic)
 

lakini kwa nini unanifanyi ivo? mi nachanganyikiwa kabisa apo,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…