Kijana wako anafanana na wengi kuanzia uimbaji mpaka beat ya wimbo, sasa kuingia kwenye ngoma iliyokolea tayari, utahitaji kuwa na kitu cha kukutambulisha ili watu wakugeukie.
Hapo kati kati hapo, jamaa wa bongofleva, kila aliyetoka, alitumia signature yake kiasi kwamba ukisikia mdundo tu, unajua mmiliki, ukimuweka Mr 2, Juma Mchopanga, Soggy, Kiroboto, Balozi, Solo, Nigga J, Afande, Inspekta n.k huwezi kuchanganya hata iwaje.
Mad ice, Biziman, Mr Paul, Mr Nice, n.k
Tofauti inakuwepo.
Msukume afanye zaidi ya hapo na ikiwezekana, iwe tofauti na hii iliyopo!