ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
- Thread starter
-
- #21
Asee kufanya mapenzi usidhani ni kuvua tu na kupiga push up....
kama vipi mande kabisa
Ili uwaelewe wanawake na tabia zao inabidi uwe makini sana
Kimaumbile wanawake huwa mara nyingi wanapokuonesha kukataa huwa ni kinyume hasa kwenye mambo haya
Siku moja nilikuwa nyumbani na pale nyumbani kuna jamaa anafuga bata
Nikiwa nimekaa natafakari mambo tofauti tofauti mara bata dume akaja anamkimboza bata jike
Bata jike alikimbia sana na mwishowe akasimama na kupandwa
Baada ya hilo tukio nilianza kutafakari sana sababu ya bata jike kukimbia halafu baadae kukubali kirahisi
Nilikumbuka video mbali mbali za wanyama nilizowahi kuangalia nyakati wakitaka kuingiliana huwa ni hivyo pia yaani ni lazima jike lilete ukorofi kwanza hata kama lenyewe ndilo lilimfuata dume
Hebu chukulia mfano kuku,jogoo linaweza kumuita kwa mbwembwe nyingi na mtetea likaja [usidhani kuwa halijui limeitiwa nini] na jogoo likitaka kupanda mtetea huanza mbio .......... inashangaza eeeehhhh
Kimaumbile wanawake ndivyo walivyo
Wakiwa na uhitaji wa jambo hili ni lazima waoneshe kama hawataki hadi wewe mwanaume uoneshe "uanaume wako"
Ukijidai eti wewe ni mstaarabu inakula kwako,hulambi na akitoka hapo huenda kusema huko "aaah fulani hakuna kitu"
Sijui Mungu amewaumbaje tu hawa watu
Ni mara chache sana hawaoneshi ukorofi
Lakini ni mara chahce pia huonesha kutokutaka kweli
Hao ndio wanawake bana!
mi sijibugi akiongea nampa ma reds hapo naunda kitu namoka nampulizia moshi akicheka ajue yupo la nne afu bado naitafute sayari ya jupiter kwa spidi ya ajabu
Kwanini usijiulize haya masali kabla hujaja home?
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...
Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...
Wapo ambao wanakuwa hawataki kweli lakini hii hutokea mara chache sana tena sanaHahahahaha kweli kabisa mkuu. Hiyo nataka staki huwa ni kitu cha kawaida sana.
Ina maana, inapotokea kuwa umetumia kila mbinu, sexual seduction, kumbembeleza na hata some violence included; alafu bado anakataa ni kwamba hataki kweli?!
Sure. Yani hicho ndo kinachouma. Uko kwangu. Alafu tupo halfway kuanza ndo unasitisha mechi. Werent you supposed to confirm maamuzi yako kabla hujaja?
Maji ukishayavulia nguo kuna jingine tena hapo?
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...
Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...
Kwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...
Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...
Mimi bora nijivunge kwenye msosi sio mgegedo....kama nimepanga kufata dushe no kujivunga aseeHili linaweza kuwa kweli kwenye situation mbalimbali
Lakini HAKUNA narudia tena HAKUNA mwanamke ambae atakuja "gheto" halafu akupe tu kilaini
Ni mara nyingi sana kila kitu kinakuwa "sawa" na mnagoma hadi "tenki" litumike kidogo
Kwanini?
Me nadhani hata wanandoa walipitia haya.
Labda kwa wale ambao hawakufanya mpaka ndoa, na kama na wewe ni miongoni mwao basi unaweza ukashare experience yako hapa......ilikuwaje the first time mmeingia chumbani, mlikurukusana au mlipeana kiulaini?.
Ila kwa sisi wa kizazi cha shake well before use haya lazima yakukute.
Ni kweli kabisa mkuu. Asante kwa ushauri.
Kumbe uliiona ukiwa ndani ya ndoa hongeraKwa sisi wanandoa huwa hakuna kitu kama hicho...
Wazinzi pekee ndio mnaoeksipiriensi mambo hayo, hivyo acha uzinzi, oa mwanamke na umuweke ndani uondokane na utumwa wa ngono...
Uzinzi ni nini?
Hata mi nilidhani kuna baadhi ya mahali nikiingia sitokiWewe ukija kwangu hutoki
Mimi bora nijivunge kwenye msosi sio mgegedo....kama nimepanga kufata dushe no kujivunga asee
huo ni utoto, labda nikutane na hizo vitu viniondolee mzuka
otherwise niwe nimeamua kumkomesha tu mtu, kuna mtu alikuwa ananiona kama ye ndo anamiliki mie miaka mia
anahisi nampenda kuliko hela, tulishaachana lakini anajifanya kuomba kama mi dem wake
nilishaenda geto mara 3 we kiss then nasepa anabaki tu kasimamisha nguzo yake
ptyuuuu atundike koti kama ye kidume
Mimi bora nijivunge kwenye msosi sio mgegedo....kama nimepanga kufata dushe no kujivunga asee
huo ni utoto, labda nikutane na hizo vitu viniondolee mzuka
otherwise niwe nimeamua kumkomesha tu mtu, kuna mtu alikuwa ananiona kama ye ndo anamiliki mie miaka mia
anahisi nampenda kuliko hela, tulishaachana lakini anajifanya kuomba kama mi dem wake
nilishaenda geto mara 3 we kiss then nasepa anabaki tu kasimamisha nguzo yake
ptyuuuu atundike koti kama ye kidume