subiri wataaramu waje ndio unaitaji kwenda kuisoma aulaNaomba kujua zaidi kuhusiana na course tajwa hapo juu ngazi ya diploma ajira zake na umuhimu katika hiyo taaruma na kingine hivi hii course ina mda gani.
Umechaguliwa chuo ganAhsante mkuu maana nimechaguliwa kusoma hiyo course.
Wooooooh nzur tutakuwa wote hapoMbeya university of science and technology
Yeah nimechaguliwa hapo food science and technologyUmechaguliwa hapo nawe?
Kumbe poa man 2takuwa wote hapoTutakuwa wote maana badhi ya course tutashiliki pamoja
Yeah ndo ukakaze sasa sio baada ya mda uanze kulia liaMbona inawezekana mkuu