Labda hii itawasaidia Wanawake

Labda hii itawasaidia Wanawake

Mahaba niueee...nipondeponde kama nyanya.... Mpaka nikose cha kufanya....[emoji6]
 
Wengine wanaamini watambadilisha mwanaume wakiwa katika ndoa, ki uhalisia kumbadilisha mtu tabia ni ngumu sana. Kuolewa na kama bahati nasibu, hata akiwa mlevi tena awe ka status mjini, ulevi unauvalia miwani.
Haaaa haaa !!! Tutajenga daraja tukifika mtoni.
 
Back
Top Bottom