KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,765
- 39,525
- Thread starter
-
- #21
Hata sisi huwa tuna laana....ila hapa nimeongelea wanawake kwa kuwa ndio wahanga wakubwa sana kwenye mahusiano kwa kuwa vijana wanatumia muda mwingi kumuaminisha mwanamke kuwa yeye ni wake wa milele ili hali kwenye nafsi yake haipo hivyo.....ndipo laana zinapoanzia hapo....Laana wanawake tu?,mbona sie wanaume tukitoa laana haifiki,tutaachwa sana
Very true . I'm a witness on this.. Thanks..Habari za wakati huu ndugu na marafiki wapendwa wa Jamii Forums....
Ni siku nyingine tena tulivu ikiambatana na manyunyu ya hapa na hapa pale kwa sisi wakazi wa Dar......
Leo ningependa kuwashirikisha katika jambo muhimu sana ndugu zangu ambalo hata mimi binafsi ninaweza kuwa shahidi kabisa....
Kuna kipindi nyakati za nyuma kidogo nilitokea kumtamani binti fulani hivi ambaye tulikuwa tukiishi nae karibu na nilipokuwa nikiishi mimi...kusema ukweli huyu mimi sikumpenda isipokuww nilikuwa namuhitaji kwa ajili ya kukidhi matakwa yangu ya kimwili, kutokana na ushawishi mkubwa nilifanikiwa kumnasa yule binti na tukaanza kushiriki ngono huku yeye akijua kuwa mimi ndiye mumewe mtarajiwa.....yule binti alikuwa ni binti mwenye kujitegemea maana alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni fulani kubwa hivi ya kigeni kwa hiyo suala kipato alikuwa tatizo kwake....alichokuwa anakihataji ni mapenzi au mume ambaye aliamini kuwa ameshampata.....
Baada ya kukidhi haja zangu nikaanza kumkwepa kwa maana nilimuona kama ni kero vile kwangu.....yule dada nilimpa wakati mgumu sana kwa mabadiliko yale....na alikuwa akilia mbele yangu mara kwa mara akinisihi nisimuache lakini mimi sikuelewa lolote lile....yule mwanamke akakata tamaa na akaamua kuachana na mimi lakini alinitamkia maneno mazito sana kuhusu maisha yangu....ambayo nilianza kuyaelewa maana yake baada ya mwezi kupita tangu kukata mawasiliano naye.......
Niliona ghafla mambo yangu yanabadilika na kuwa mabaya kabisa....biashara zangu nyingi sana zilikwama mpaka nikawa nakosa hata hela ya kula......ile hali ikanishtua sana maana haikuwa kawaida ikabidi kuahangaika katika mambo ya kiswahili ndipo wataalamu waliponifunulia kuwa kuna mtu ana kinyongo na wewe kwa hiyo unatakiwa ukamiombe msamaha maana ndio njia pekee ya wewe kuondokana na mikosi hiyo maana hakuna aliyeniroga.....
Ikanibidi kwa unyonge kabisa nijipendekeze kwa yule binti na kuanza kujenga naye ukaribu upya na kuomba misamaha mingi sana....
Baada ya muda nikaona mambo yanaanza kubadilika na kuwa kama kawaida.....
N:B Dhumuni la mimi kushare kisa hiki ni kuwaasa vijana kuwa kama mwanamke huna mipango naye ya muda mrefu basi usimpotezee muda wake bure maana utamuacha na sononeko ambalo litakuletea mikosi kwenye maisha yako.....wapo vijana wasomi wanaohangaika kutafuta kazi takribani miaka kumi....wapo vijana wanaojaribu kuanzisha biashara zao lakini huwa zinakufa.....wapo vijana wanaofukuzwa kazi katika mazingira ambayo hata yeye hawayaelewi...hizi ni moja ya athari za watu waliokuwa na vinyongo na wewe.....
Stuka kijana
Ni vitu ambavyo vinaumiza sana mioyo na baadhi yao walishajitoa uhai....na waliobahatika kuyavumilia ndio wanaoweka vinyongo nafsini mwao.....dah! you remind me of something ujue.... ila karma has everybody's address believe or not its just a matter time.. we better keep our circles positive!
Pole kwa yaliyokukuta.....i hope ulisamehe....Very true . I'm a witness on this.. Thanks..
Hakuna kitu kinauma kama kupotezewa Muda, Ex wangu hadi leo pamoja na kuwa na kazi nzuri maisha yake hayaeleweki, kwenye mahusiano ndo usiseme, nabado napiga goti kwa Mungu siku atakayorudi kuomba msamaha kwakunikosea ndo amwachilie.
Hili ni somo tosha kwa vijana wa leo....ndio maana mahangaiko hayaishi maishani mwao.....Asante kwa somo kaka, wa aina hiyo hauko peke yako wengi yametukuta.
Tujifunze kupitia hii thread
Msamehe mpwa.....Sijawahi kumsamehe
Yalishakukuta mpwa.....????Ni kweli usemayo,hakuna kitu kinauma kama kupotezewa muda jamani, umejitunza na kuwakataa wengine wenye nia afu mtu anakuacha hewani gafla,uwiii.... Mungu niepushie isinitokee tena
Ndio kiongozi....wapo wanawake wanaokumbana na mikosi kwa kuwakimbia au kuwasaliti wenzi wao.....lakini wahanga wengi wa matukio haya ni wanawake....kwa kuwa sisi wanaume ndio tunawajenga kuwa hivyo....na mwishowe tunakwenda kinyume na matarajio yao....This Shit Applies To Both.
Trust me dear it wasnt easy thing to do.. Until God said something to me .. But I still could not do it on my own , so I had to surrender complete unto God so He could fix me all over again...So I thank God through Jesus Christ ... Amen... But that person, Ooh Boy, alikutana na Moto WA Yesu until today anajuta .. I feel so sorry kwake but well you reap for what you sowed.. I'm surprise some people don't take it this serious .. The time its coming for them too... Wait and watch ... Thanks..Pole kwa yaliyokukuta.....i hope ulisamehe....
Am feel sorry for you....dear....it really hurt....Trust me dear it wasnt easy thing to do.. Until God said something to me .. But I still could not do it on my own , so I had to surrender complete unto God so He could fix me all over again...So I thank God through Jesus Christ ... Amen... But that person, Ooh Boy, alikutana na Moto WA Yesu until today anajuta .. I feel so sorry kwake but well you reap for what you sowed.. I'm surprise some people don't take it this serious .. The time its coming for them too... Wait and watch ... Thanks..
Hayo yalinikuta 2013 mpwa.... Hii mambo ishia tu kusikia kwa jirani lakini kwako usiombe.Yalishakukuta mpwa.....????
akiamungu vale; sitakuacha hewani!!Ni kweli usemayo,hakuna kitu kinauma kama kupotezewa muda jamani, umejitunza na kuwakataa wengine wenye nia afu mtu anakuacha hewani gafla,uwiii.... Mungu niepushie isinitokee tena
Ni kweli usemayo,hakuna kitu kinauma kama kupotezewa muda jamani, umejitunza na kuwakataa wengine wenye nia afu mtu anakuacha hewani gafla,uwiii.... Mungu niepushie isinitokee tena
Hapana, maumivu yale kidogo nione kifo hapana, machozi yale aliyofurahia kuyaona kipindi kile wacha yamloweshe.I can feel you on this.. It hurts so much... But let him go so God can use you more ..Thanks..
Kinyongo nilichokibeba si rahisi kusamehe.Msamehe mpwa.....