Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 597
- 1,277
Mbio za ubingwa la liga zinaendelea kila team imebakiza match moja
SIMEONE ATAJILAUMU SANA AISEE
Game ya Leo hawa jamaa wanafaa kushindaYaan atheletico sio timu ya kuitegemea kabisa tokea inikoseshe pesa zile fainal za uefa sina hamu nao
labda anaweza pindua meza kibabe,barca naye ana mbwelambwela tuGame ya Leo hawa jamaa wanafaa kushinda
Ila wakidraw ama kupoteza bas simion nae achane Tu na hyo timu
Wewe ndio kama mimi. Timu imechoka sana mwishoni. Nina wasiwasi na Match ijayo dhidi ya Valladolid kwakuwa Valladolid yupo nyumbani na anapambana asishuke daraja kwakuwa anashika nafasi ya 19 na yupo home. Lakini pia Real Madrid wanakazi watakapo kutana na Villarreal.Atletico kashinda...
Ni hamu yangu kuiona atletico inabeba hii ndoo, hili chama nalizimia mnooo, kuas mtaani kunibatiza jina la DIEGO SIMEONE ila naona mwamba sasa hv km kachoka kimipango vile.
Atletico kashinda...
Ni hamu yangu kuiona atletico inabeba hii ndoo, hili chama nalizimia mnooo, kuas mtaani kunibatiza jina la DIEGO SIMEONE ila naona mwamba sasa hv km kachoka kimipango vile.
Unataka Atletico ashinde?Simba kaniharibia siku mamama mae, hawa atletico sijui nao watanipa panadol au ndio mwendo wa kupigilia msumali wa moto kwenye donda