La leo limenisikitisha sana

La leo limenisikitisha sana

Me siziwezi league mkuu,umri niliofikia siwez mashindano ila kama unatumia reddit nenda kasearch hii username halafu rudi hapa na screenshot yako ndo ubishe...
Sina time ya kupiga screenshot kwanza sijui wanapigaje
Basi sawa mkuu ni kweli nimekubari
 
Acha mazoea mbona yupo online reddit now!!!
Tatizo mnakaza shingo jamii forums kila siku... Jaribuni forums nyingine kubwa duniani ili kupata mawazo tofauti...nenda reddit,nairaland,Steam,Github,quora...

Ila MIN-me nimemwacha online reddit
Hahaha bwashee umejuaje🤣
 
Back
Top Bottom