dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,736
- 9,993
Ni kondoo dume mkubwa aliyekomaaabaya ni kitu gani ?
ama ni ng'ombe wa iddi
Ni kondoo dume mkubwa aliyekomaaabaya ni kitu gani ?
ama ni ng'ombe wa iddi
Kwani hajafunga leo au yeye cyo kobazAnakula bia na kitimoto mkuu nimemkuta sehemu si unajua na mvua hizi
aise nimeuliza maana nimeona mara kadhaa unalitumia,Ni kondoo dume mkubwa aliyekomaa
Hii nimeipenda kudadek hahaha
Kwahiyo wataka kusemaje.Watu wenye ID zaid ya moja huwaga wana katabia flan hivi na ni rahisi kuwajua.
Maana kuna namna hata akibadili personality ya Original ID ila ataihusisha tu ID yake na ID fekelo.
Ila kwa Mang hawez fanya hivyo.
View attachment 3559724
Hamna ni vazi moja la kislamu wasichana wanalipenda mno wakivaa wanapendezaaise nimeuliza maana nimeona mara kadhaa unalitumia,
kumbe ni RAM
Hamna ni vazi moja la kislamu wasichana wanalipenda mno wakivaa wanapendeza
Na majibu ya watafuta abaya ndio kama hayakaambiwa atafute hela ya abaya kabla ya iddi 😅
Ni kama pashmina😆abaya ni kitu gani ?
ama ni ng'ombe wa iddi
Huu muandiko kama wa Harmful 😁Na majibu ya watafuta abaya ndio kama hayaView attachment 3559730
Hijabu ?Ni kama pashkuna😆
kaambiwa atafute hela ya abaya kabla ya iddi
Naona umemmiss🤣
😄umekuja na kukataa mangi hawez Fanya utoto wa hivyo
Ha ha ha, au tumchangie bando wazee! Wenda mkali bando limekata.