Ngereja,
Mkuu samahani mbona mimi nakumbuka PPF ipo toka miaka ya 80 kama sio 70s!.... naomba somo mkuu wangu..
Wow, then I am Mother Thereza !!
Huko huko anakopeleka Jamhuri ya Muungano wa Tazania.
Naona asilimia 80% ya Watanzania ni wana mtandao, duh !!
Keshapumzika miaka mitatu - kwani anaumwa ugonjwa gani ?
Seconded lakini...........viboko ? mbona taifa zima litakula mboko.
I concur but they did and may do so again - unless........labda mboko zitembee.
You poor woman ! ( I am assuming you are a woman)
Democracy was raped and a President was born named JK. My son ? NO.
Naenda kulala - kichwa kinazunguka.
Ogah,
iii) Mipango ya kufufua ATCL hadi leo haijaeleweka. Yaani aliyeshindwa kwake, aje atufufulie NIC yetu. By the way, NIC ina liabilities nyingi, na tukicheza Watanzania wengi, mathalan wenye Life Insurance (Bima ya Maisha) na hasa waalimu ambao waliichangamkia sana aina hiyo ya Bima wataenda na maji! JK inamwathiri nini hata Watanzania wakiathirika. This is the only plausible explanation.
Mimi najiuliza wakati Kikwete anam-appoint David Mattaka ina maana alikuwa hajui inside out of this guy.Duh! This is too much now. The only plausible explanation is that Kikwete is purposely irritating wananchi.
He!!! Kikwete ni honest,wise,dedicated!! Mama Mia!!!!! Cronyism at its best.Mambo ya utapeli hutegemei kuyaona Serikalini. Haya ni mambo ya wahuni tu wa mitaani. Lakini inapokuwa Waziri Mkuu anahusishwa na mambo ya utapeli,na yule Waziri Mkuu inambidi ajiuzulu,ina maana Taifa lote limeingizwa mkenge.
Kwa hiyo,ingawa credentials za Kikwete ni impeccable,Kikwete ni honest,wise,dedicated. Lakini hawa watendaji wake hawafanyi kazi vizuri.The Nation has come to a standstill. Lakini ukisema huna imani na Rais,inakuwa almost as if ungependa Rais ajiuzulu sasa hivi. Hilo ni jambo ambalo ni very drastic,and I must say,I have not thought of it that way. It seems a little bit imprudent to discuss this. Lakini ke time is wated wakati vingozi wakiwa incompetent. Rais Mkapa kila siku alikuwa hataki kusikia mtu yeyote anasema kasi ya maendeleo haitoshi. Lakini GDP ya China inakuwa 10 per cent every year. Why not us? Haina maana tutaendelea kama China in one year. It just means that we would be richer by an increase of one tenth every year.
Ama! Hii kali ya 2011!mimi nadhani tupige kampeni ya kutuma SMS kwa ajili ya JK ili aingie katika maajabu saba ya dunia baadala ya mlima Kilimanjaro!