Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,763
- 284,766
- Thread starter
- #21
Sasa si tushirikiane kuing'oa ccm !Kyela Wilaya nzima bado ina changamoto sana
Sasa si tushirikiane kuing'oa ccm !Kyela Wilaya nzima bado ina changamoto sana
Bandari ya Kyela ina nini mpaka ibinafsishwe? Hata km ni upumbavu kiwango hiki kinatisha, mi wenyewe naogopa kusoma ulichoandika, sijui ujasiri wa kuandika huu uchafu umeupataje. We unaumwa tena sanaWananchi Wilayani Kyela wamesikitishwa na kusononeka baada ya kuambiwa kwamba Bandari yao waliyoitunza na kuipenda kwa miaka yote , nayo imechukuliwa na Waarabu wa DP WORLD
Huku wakibubujikwa na Machozi , wananchi waliopakana na Bandari hiyo kutoka vijiji vya Bujesi , Njisi , Ngonga na Kajunjumele wameonekana kukata tamaa kuhusu uwekezaji huo , hasa wakizingatia kwamba ni hivi karibuni Serikali ilitumia hela nyingi kujenga meli mbili za kisasa zilizotengenezwa na Kampuni ya Songoro Marine ya Ilemela Mwanza , Taarifa zaidi zinasema kwamba wananchi hao kwa umoja wao wanatafakari hatua za kuchukua ama Wamuachie Mungu aamue.
Taarifa za Bandari za ziwa Nyasa kubinafsishwa kwa Waarabu zimefichuliwa na Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe alipoongea na Waandishi wa habari kwenye Makao Makuu ya Chama chake jana na kwamba Bandari za Mbambay , Manda na Itungi nazo zimekwenda na maji kwa muda usiojulikana .
Mungu Ibariki Kyela .
Kama haina lolote mbona nayo wamepewa Waarabu ?Bandari ya Kyela ina nini mpaka ibinafsishwe? Hata km ni upumbavu kiwango hiki kinatisha, mi wenyewe naogopa kusoma ulichoandika, sijui ujasiri wa kuandika huu uchafu umeupataje. We unaumwa tena sana
Pale Ipande kuna maendeleo sana kwa sasa , kuanzia Pale Mpiki Kimbwala hadi Njugilo ni nyumba za kisasa tupu !
wewe ulienda huko miaka mingi .
HakikaHivi huyu DP kabeba kwa nini abebe Bandari zote hata zile za mikoani, watanganyika tusimame kuungane tukizubaa tunakwenda kuolewa na hawa jamaa.
mbona Mkuranga hawawapelekei maisha mazuri ?HONGERA Kwa CCM kwa kuwaletea maisha mazuri wana Kyela na kuweza kujenga nyumba nzuri za kisasa
Si inawapendelea wanyakyusa wa Kyela na kuwasahau Wazaramo wa Mkuranga
hamieni Malawi hapo, sio mbaliSisi Kyela tunatafakari hatua za kuchukua
Hameni nyiehamieni Malawi hapo, sio mbali
Usingekuwa umeandika ningeandika kama ulivyoandika. Sasa donworld wachukue bandari hiyo kwa mzigo gani watakapoeleka hapo. Haya ndio matatizo makubwa ya upotoshaji.Bandari ya Kyela ina nini mpaka ibinafsishwe? Hata km ni upumbavu kiwango hiki kinatisha, mi wenyewe naogopa kusoma ulichoandika, sijui ujasiri wa kuandika huu uchafu umeupataje. We unaumwa tena sana
Tunapenda kukufahamisha kwamba Bandari ya Itungi ni miongoni mwa alizopewa MwarabuUsingekuwa umeandika ningeandika kama ulivyoandika. Sasa donworld wachukue bandari hiyo kwa mzigo gani watakapoeleka hapo. Haya ndio matatizo makubwa ya upotoshaji.
Video ipo wapi!?Wananchi Wilayani Kyela wamesikitishwa na kusononeka baada ya kuambiwa kwamba Bandari yao waliyoitunza na kuipenda kwa miaka yote , nayo imechukuliwa na Waarabu wa DP WORLD
Huku wakibubujikwa na Machozi , wananchi waliopakana na Bandari hiyo kutoka vijiji vya Bujesi , Njisi , Ngonga na Kajunjumele wameonekana kukata tamaa kuhusu uwekezaji huo , hasa wakizingatia kwamba ni hivi karibuni Serikali ilitumia hela nyingi kujenga meli mbili za kisasa zilizotengenezwa na Kampuni ya Songoro Marine ya Ilemela Mwanza , Taarifa zaidi zinasema kwamba wananchi hao kwa umoja wao wanatafakari hatua za kuchukua ama Wamuachie Mungu aamue.
Taarifa za Bandari za ziwa Nyasa kubinafsishwa kwa Waarabu zimefichuliwa na Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe alipoongea na Waandishi wa habari kwenye Makao Makuu ya Chama chake jana na kwamba Bandari za Mbambay , Manda na Itungi nazo zimekwenda na maji kwa muda usiojulikana .
Mungu Ibariki Kyela .
Ila wee jamaa 🤣🤣🤣🤣Wananchi Wilayani Kyela wamesikitishwa na kusononeka baada ya kuambiwa kwamba Bandari yao waliyoitunza na kuipenda kwa miaka yote , nayo imechukuliwa na Waarabu wa DP WORLD
Huku wakibubujikwa na Machozi , wananchi waliopakana na Bandari hiyo kutoka vijiji vya Bujesi , Njisi , Ngonga na Kajunjumele wameonekana kukata tamaa kuhusu uwekezaji huo , hasa wakizingatia kwamba ni hivi karibuni Serikali ilitumia hela nyingi kujenga meli mbili za kisasa zilizotengenezwa na Kampuni ya Songoro Marine ya Ilemela Mwanza , Taarifa zaidi zinasema kwamba wananchi hao kwa umoja wao wanatafakari hatua za kuchukua ama Wamuachie Mungu aamue.
Taarifa za Bandari za ziwa Nyasa kubinafsishwa kwa Waarabu zimefichuliwa na Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe alipoongea na Waandishi wa habari kwenye Makao Makuu ya Chama chake jana na kwamba Bandari za Mbambay , Manda na Itungi nazo zimekwenda na maji kwa muda usiojulikana .
Mungu Ibariki Kyela .
karibu sana mkuuIla wee jamaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnajitekenya tu...Tulisema hii ngoma bado mbichi[emoji4][emoji4][emoji4]Samia asietaka kuwasikiliza wananchi akae akijua chuki ni kubwa mno
La bandari lishaisha hilo.We jamaa kwenye issue ya bandari nakuungaga mkono sana tatizo wewe ni keybord worries sana kyela yenyewe unaitetea kwenye kishikwambi chako tuu
Badala uje ukiamshe huku unapambana kwenye simu tuu. Shauri yako watauza na masyeto huku msalimie Mwanyamaki
Mkuu usiwe na shaka, tutawaambia Malawi ziwa lote ni lenu chukueni ili tumukomoe huyu mwarabu!Wananchi Wilayani Kyela wamesikitishwa na kusononeka baada ya kuambiwa kwamba Bandari yao waliyoitunza na kuipenda kwa miaka yote , nayo imechukuliwa na Waarabu wa DP WORLD
Huku wakibubujikwa na Machozi , wananchi waliopakana na Bandari hiyo kutoka vijiji vya Bujesi , Njisi , Ngonga na Kajunjumele wameonekana kukata tamaa kuhusu uwekezaji huo , hasa wakizingatia kwamba ni hivi karibuni Serikali ilitumia hela nyingi kujenga meli mbili za kisasa zilizotengenezwa na Kampuni ya Songoro Marine ya Ilemela Mwanza , Taarifa zaidi zinasema kwamba wananchi hao kwa umoja wao wanatafakari hatua za kuchukua ama Wamuachie Mungu aamue.
Taarifa za Bandari za ziwa Nyasa kubinafsishwa kwa Waarabu zimefichuliwa na Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe alipoongea na Waandishi wa habari kwenye Makao Makuu ya Chama chake jana na kwamba Bandari za Mbambay , Manda na Itungi nazo zimekwenda na maji kwa muda usiojulikana .
Mungu Ibariki Kyela .
[emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu usiwe na shaka, tutawaambia Malawi ziwa lote ni lenu chukueni ili tumukomoe huyu mwarabu!