msumeno umetukana wote,hata mimi wamebadilisha kichwa cha habari ambacho kingeleta mvuto.ukisema Mwakalinga hakuna anayejua ila ukiweka MwanaJF kila mtu anataka kujua ni GT,nyani Ngabu au Mkandara.Hawa ma mods waqchemfu sana wakati mwingine. Kila mtu anamjua huyo mtu kuwa ndio Mtanzania sasa wamefuta post yangu sijui kwa nini.
mkuu soma alichokisema unless aseme tena hakuwa yeye..
mheshimiwa mwakalinga kawasaidia nini wana kyela mpaka sasa...maana nijuavyo kuleta maendeleo sio lazima uwe mbunge,mkurugenzi au waziri.....yeye keshawafanyia nini wana kyela?
yameshakuwa haya? nisingemsupport ungesema namchukia kwa udini, nikisema nimsupport unanilaumu nishike lipi?Kama wapiga debe wa Mwakalinga ni hawa watu wenye udini na chuki dhidi ya wakristo (kama huyu Kanda2) basi itabidi ajieleze mara mia mia kwa wanakyela.
mkuu vaa mawani......hebu soma ile quote aliomwambia maxence......hana mpango wa kugombea......anywayMkuu,
Hio ya kwanza ni kwamba alikua anakanusha taarifa za yeye kuwepo huko Kyela kwa minajili ya kuratibu kampeni ya 2010.
Pili, inabidi uende jimboni Kyela ili uweze kuona kwamba amefanya nini, kwani hatuwezi kusema sana kwa sasa.
Cha msingi ni kwamba huyu mkuu amethibitisha kwamba sasa yupo tayari kwa msafara wa 2010 jimboni Kyela.
Hawa ma mods waqchemfu sana wakati mwingine. Kila mtu anamjua huyo mtu kuwa ndio Mtanzania sasa wamefuta post yangu sijui kwa nini.
yameshakuwa haya? nisingemsupport ungesema namchukia kwa udini, nikisema nimsupport unanilaumu nishike lipi?
wanaKyela wangapi wanaomjua Kanda2? wana kyala wangapi wanaingia JF?
SOMA Tanzania Daima uone nguvu za Mwakalinga mkuu.ndiyo kwanza safari imeanza.
may be ndio huyu msela....Huyo mwakalinga ni yule aliyeaanzisha computer centre pale Jitegemee JKT high School na baadae kuwa na Dar es Salaam International School pale Sinza?
Siye huyu aliyetajwa kama mmoja wa wanahisa wa ile kampuni ya kina Mwekyembe ya Umeme wa Upepo kule Singida?
Naomba kuelimishwa kidogo
Omarilyas
Wewe ni mtu mwenye chuki kubwa sana dhidi ya wakristo. Nakuhakikishia kuwa wana Kyela wote wataambiwa habari zako wakati maalumu ukifika ili wajue support ya Mwakalinga inatoka wapi.
Nina hakika Mwakalinga ataingia hapa muda si mrefu akukane hadharani na kuyakataa mambo yako ya uchochezi wa chuki dhidi ya wakristo.
Chati ya mwanasiasa huyo msomi wa sheria aliyebobea, ilipanda zaidi pale alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyochunguza kashfa ya mkataba kati ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni ya Kufua Umeme wa dharura ya Richond LLC, ambayo ilisababisha mawaziri watatu wa Serikali kujiuzulu.
George Ambwene Mwakalinga niliona kila michango yako hapa ndani nikajua wewe ni CCM damu .Niliwahi kukueleza ukasema oh mzushi sasa umefanya kweli .Mie sina tatizo na huyu bwana kugombea ila nina wasi wasi na credentials zake .Kasoma mhandisi sawa lakini uzoefu wa uongozi kazini kwake huko au kuweka pesa za wana jamvi wengine wa tanzanet? Kuwa mwanzilishi wa JF ? Kumbe nayo hii ni sifa kwa mtu kugombea Ubunge Kyela ? Yeye ataimaliza migogoro ya CCM? Inakuwaje anagombea kwa Chama hiki chenye vituko na na yeye anajua kabisa .Ana nia kweli kuwakomboa watu wa Kyela ama ana jambo lake ? Msomi mbona wako wasomi kibao huko CCM akiwemo Mbunge wake lakini wote wanacheza ngoma ya mahepe?
George Mwakalinga mwana JF mwandamizi kila jambo jema .
ndugu naona unaota hawezi kunikana MwanaJF mwenzake. tunasubiri kampeni zianze tukajikite KYELA.
kumekucha!!.mwendo Mdundo.
mkuu utasikia na nyani ngabu anakwea pipa kuja "kupigania haki za wanyonge"Kinachonitatiza mimi ni huu utamaduni wa kupanda ndege eti kurudi "nyumbani" kugombea uheshimiwa ama kuwatumikia wananchi tunaowaona katika online newspapers, blogs and hizi frastrations za jamboforums. Hawana tofauti na hawa "Wafadhili" weupe wanaoishia kuendelea kuhalalisha tabaka tawala badala ya kuwasaidia watanzania ambao ukweli hawahitaji sana misaada yao.
Na mwaka huu tutawaona wengi sana....karibu to the United Republic of Frustrations and Disappointments...and oppurtunities for wale Wajasiri wa kukusanya mali...
omarilyas
kajinyonge ndugu yangu.mwakalinga yuko hatua kumi mbele.akiingia mjengoni kila mwanakyela anakula laptop.
Hivi tunavyozungumza mwakalinga inabidi apewe ulinzi mzito kwani wafuasi wa mwakyembe wameanza kuchanganyikiwa.
kajinyonge ndugu yangu.mwakalinga yuko hatua kumi mbele.akiingia mjengoni kila mwanakyela anakula laptop.
Hivi tunavyozungumza mwakalinga inabidi apewe ulinzi mzito kwani wafuasi wa mwakyembe wameanza kuchanganyikiwa.
Hawa ma mods waqchemfu sana wakati mwingine. Kila mtu anamjua huyo mtu kuwa ndio Mtanzania sasa wamefuta post yangu sijui kwa nini.
Hongera mkuu na huo mwendo wako mdundo wenye chuki kali dhidi ya wakristo wa Kyela.
mkuu vaa mawani......hebu soma ile quote aliomwambia maxence......hana mpango wa kugombea......anyway
nataka nijue uzoefu wake kama mhazini wa tanzanet aatwafanyia nini wana kyela....
Bw. Mwakalinga ambaye ni mtaalamu mwandamizi wa kompyuta na simu ana shahada ya pili ya Sayansi ya Kompyuta aliyoipatia katika Chuo Kikuu cha Wroelaw nchini Poland pia ni mtaalamu ya Biashara