Kwwli Trump hana interest na TZ?

Kwwli Trump hana interest na TZ?

Hapana siungi mkono Trump kuingilia maana tatizo wakitaka kumtoa wanaweza piga miundombinu yote ili kuparalyse uchumi Mama akimbie. So unakuta baada ya vita kweli mmemtoa ila uchumi unaanza zero kabisa kama Syria au Libya.
 
Ogopa sana pale mmarekani anapojifanya anachelewa kuchukua hatua ,mara nyingi jua kunahatua nyingi za chini kwa chini zimeshachukuliwa .

Ukitaka kunielewa naongea nini angalia namna Samuya huko anavyobwabwaja bwabwaja hoco mjue kishaanza kugongwa vimemo chini chini na soon taarifa ya World Bank inakwenda kuwa wazi.

Mmarekani aache kuwa na maslahi na Taifa lenye gesi ,wewe! Umeona waapi 🤣
 
Hakuna atakayekuja kukuokoa wewe zaidi ya kujiokoa mwenyewe.

Tumekubaliana hakuna kulia lia wala kutiisha huruma.

Aidha tukubali tunachofanyiwa au tuchukue hatua kukata minyororo ya marudio.

Kulalamika na kutegemea mwokozi kutoka nje hakujawahi kutusaidia.
 
Hakuna atakayekuja kukuokoa wewe zaidi ya kujiokoa mwenyewe.

Tumekubaliana hakuna kulia lia wala kutiisha huruma.

Aidha tukubali tunachofanyiwa au tuchukue hatua kukata minyororo ya marudio.

Kulalamika na kutegemea mwokozi kutoka nje hakujawahi kutusaidia.
D9 tunatoka
 
Hakuna atakayekuja kukuokoa wewe zaidi ya kujiokoa mwenyewe.

Tumekubaliana hakuna kulia lia wala kutiisha huruma.

Aidha tukubali tunachofanyiwa au tuchukue hatua kukata minyororo ya marudio.

Kulalamika na kutegemea mwokozi kutoka nje hakujawahi kutusaidia.
Sahihi, lakini....... Afghanistan alisaidoa kuwafurusha taleban ingawa baadaye aliwarudisha kitawala
 
Inapotokea mizozo kama hii ndiyo mzuka wa Marekani husisimka .

Kunamikakati mingine halipaswi kuwekwa wazi ila bila kutiana moyo , Maza hatoboi .
 
Huyu tumtoe peke yetu, hao wakiingilia maisha yatakuwa magumu kifedha
 
Hakuna atakaekuja kuwasaidia nyumbu, mkileta wizi na uharibu wa mali kama mliouleta mtakufa wengi zaidi ya awali katika hilo hamna huruma.
 
Huko kwake na yeye anakabiliana na pressure za kisiasa ambazo ukizingalia zinafanana na zinazowakabili CCM. Labda ungesema taifa kama taifa la Marekani.

Marekani hawezi kuingia kichwa kichwa maana anajua Mchina ndiyo anawapa kiburi CCM.
 
Back
Top Bottom