Kwisha habari yake

Kazi ya sanaa ina maana nyingi mkuu, huyo anayekata mti siku ya kwanza mimi nilikisia ni slowslow

Hii aliyoa July 17



Unaona hiyo picha ya che nyuma?
 
Mama Samia tunae mpaka Mungu atavyoamua vinginevyo
 
Wangekua hawana akili kiasi hicho msingewafungia kinyemela kufanya siasa na kumuweka mwenyekiti wao Gerezani kwa kesi za mchongo
 
Yuko tayari kuua arudi kwenye kiti. Kile kiti kwa katiba yetu mbovu wewe ni alpha na omega. Majaji ,CDF, Spika na wengine wote wana kusujudu hata ikiwezekana kuvunja sheria.
Eeh hii kweli, ila ni hatari na aibu kutenda haya kwa mtu ambaye ni mwanamke....sisi tunayo Imani kwamba kiumbe namba moja mwenye hofu ya kuua au kudhulumu anakuwaga mwanamke....inatufanya tuwe na wasiwasi na jinsia yake yule Bwana😛
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…