Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,183
Dah
Hii ni wap saa mbili usiku jua ndo linazama? Bila shaka itakuwa kigoma
Leno Renz wa Bongo😀😀😀Huyo kwenye pikipiki ni Leno renz ( correct me kama nimekosea spelling) kwa wahenga wenzangu hiyo ni tamthilia ilikuwa inaoneshwa ITV kipindi hicho ilikuwa inaitwa renegade