mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Tuseme CCM yetu inapendwa sana; inakubalika sana; inachagulika sana; hofu ya inatoka wapi sasa? Matumizi makuubwa ya vyombo vya dola ya nini?
Huwa sielewi issue ya kuzuia maanandamano kama watu hawafanyi fujo, Police should be there kuhakikisha usalama wa watu na fujo hazifanyiki. Otherwise let people practice their rights
Tunapodai Haki Juu Ya Kifo Cha Aquiline Tusisahau Pia Kudai Haki Juu Ya Kifo Cha Salum Muhammed Almasi Mwanafunzi Wa UDSM Aliyepigwa Risasi Na Polisi Mchana Kweupe Huku Akiwa Hana Silaha Yoyote Tarehe 14/5/2017 Na Polisi Kumsingizia Ni Jambazi
Gari limeondolewa plate number unajuaje kama ni la polisi au la watekaji?
Hawataki kuwa traced back. Hiyo ni ishara mbaya sana kwani inaonyesha hao waliomo humo ndani wapo tayari kufanya chochote na hawatajulikana. Likitokea lolote tutaambiwa "Uchunguzi unaendelea".
Kwenye Taifa Linaloongozwa Na Mtu Anayesema Hadharani Kuwa Anayo Frustration, Tutegemee Kuona Mambo Makubwa Na Ya Kusikitisha Zaidi Kuliko Hili Tunalolishuhudia Sasa
mr mkiki.
Huwa sielewi issue ya kuzuia maanandamano kama watu hawafanyi fujo, Police should be there kuhakikisha usalama wa watu na fujo hazifanyiki. Otherwise let people practice their rights
Tunapodai Haki Juu Ya Kifo Cha Aquiline Tusisahau Pia Kudai Haki Juu Ya Kifo Cha Salum Muhammed Almasi Mwanafunzi Wa UDSM Aliyepigwa Risasi Na Polisi Mchana Kweupe Huku Akiwa Hana Silaha Yoyote Tarehe 14/5/2017 Na Polisi Kumsingizia Ni Jambazi
Gari limeondolewa plate number unajuaje kama ni la polisi au la watekaji?
Hawataki kuwa traced back. Hiyo ni ishara mbaya sana kwani inaonyesha hao waliomo humo ndani wapo tayari kufanya chochote na hawatajulikana. Likitokea lolote tutaambiwa "Uchunguzi unaendelea".
Kwenye Taifa Linaloongozwa Na Mtu Anayesema Hadharani Kuwa Anayo Frustration, Tutegemee Kuona Mambo Makubwa Na Ya Kusikitisha Zaidi Kuliko Hili Tunalolishuhudia Sasa
mr mkiki.