Naombeni kuuliza kwani hao wanaoziproduce hizo picha wanakua na lengo gani haswa vichwani mwao?na walengwa ni gani?maana kuna zingine ambazo zinatengenezwa specially for married couples zinakuwa zimetulia kuna maelezo jinsi ya kupitia process zote mpaka mmalize mahitaji yenu. lakini hizi zingine ndo hard core ile mbaya yani za kufa mtu mpaka unabaki midomo wazi sasa walengwa ni nani haswaa kabla ya kujua kama inabomoa au inaimarisha mahusiano yoyote.