Kwenu UKAWA

Kwenu UKAWA

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Kwa wale wanaohusika na kamati za uenezi katika Vyama Vilivyoijenga UKAWA inabidi muchukue hatua za lazima kuhakikisha ,clip za mikutano yenu zinakuwepo katika WEBSITE zenu ,si lazima mkutano mzima kama itakuwa shida ku'upload'

Hii itasaidia kuona kinachoendelea kwa kina kila sehemu na pia kuwezesha kuwa na mtandano ambao walioko Pemba watajua kinachoendelea kwa wenzao,walioko Mwanza ,Mbeya na kila sehemu ,itakuwa kama mmeanzisha coordination ,ambazo zimekuwa linked katika mitandao na pia kuwepo na update ,sio unapozifungua hizo web zenu inakuwa kama zimezimia au zipo ICU. Zinatakiwa ziwe updated kila siku kama itawezekana ,ionekane hata nyie wenyewe mnazipitia.

Sasa hivi WaTZ wamekuwa ni watumiaji wa mitandao ,hivyo kuna watu au wafuasi wanataka kujua ,mkutano wa Zanzibar Chama fulani walizungumza nini ,mkutano wa sehemu fulani ulisema nini,ili kupatikane uelewa nchi nzima.

Mikutano ya UKAWA ni mingi ukilinganisha na ya Chama Cha Mabepari ,hivyo itakuwa mnaeleweka kila siku na habari zunakuwa zinasambaa pande zote.msikae na kuzidumaza hizi website zenu.

Natumai nitakuwa nimeeleweka vizuri sana.
.
 
Kwa wale wanaohusika na kamati za uenezi katika Vyama Vilivyoijenga UKAWA inabidi muchukue hatua za lazima kuhakikisha ,clip za mikutano yenu zinakuwepo katika WEBSITE zenu ,si lazima mkutano mzima kama itakuwa shida ku'upload'

Hii itasaidia kuona kinachoendelea kwa kina kila sehemu na pia kuwezesha kuwa na mtandano ambao walioko Pemba watajua kinachoendelea kwa wenzao,walioko Mwanza ,Mbeya na kila sehemu ,itakuwa kama mmeanzisha coordination ,ambazo zimekuwa linked katika mitandao na pia kuwepo na update ,sio unapozifungua hizo web zenu inakuwa kama zimezimia au zipo ICU. Zinatakiwa ziwe updated kila siku kama itawezekana ,ionekane hata nyie wenyewe mnazipitia.

Sasa hivi WaTZ wamekuwa ni watumiaji wa mitandao ,hivyo kuna watu au wafuasi wanataka kujua ,mkutano wa Zanzibar Chama fulani walizungumza nini ,mkutano wa sehemu fulani ulisema nini,ili kupatikane uelewa nchi nzima.

Mikutano ya UKAWA ni mingi ukilinganisha na ya Chama Cha Mabepari ,hivyo itakuwa mnaeleweka kila siku na habari zunakuwa zinasambaa pande zote.msikae na kuzidumaza hizi website zenu.

Natumai nitakuwa nimeeleweka vizuri sana.
.

Sehemu niliyo highlight siyo kweli tafuta tathimini utabaini kwamba wajumbe wa nec wa kila wilaya wa ccm kila kukicha wana mikutano,wenyeviti na makatibu wa ccm wa wilaya kila kukicha wana mikutano,viongozi wa mikoa wa ccm kila kukicha wana mikutano achilia mbali mikutano ya katibu mkuu wa ccm mheshimiwa kinanana
 
Ukawa mna uwezo wa kuondoa ccm 2015.
 
Unaota. Lipumba Mwenyekiti wa CUF kasema wazi kuwa ni vigumu sana kuiondoa CCM madarakani
Bila ya shaka yeyote atakuwa na sababu kitakachowapa uhai ukawa ni kuzifanyia kazi sababu hizo na kuziondosha kama ndio vikwazo.

Na mnaosema sijui CCM wanafanya mikutano mingi kuanzia kwenye kata na upawa ,hiyo ni mikutano ya kulana hela tu haina umuhimu wala maelezo ya maana kwa mwananchi ,na matukio ya mikutano yao ni kuwachangisha wananchi wasaidie miradi ya serikali ,mambo ambayo mwananchi hataki kuyasikia ,Mikutano ya UKAWA ni ya aina yake na inamuhuri wa kuwashawishi wananchi waikatae CCM na kuigomea pamoja na kuigomea michango isiyo na kichwa wala miguu. Hivyo kuhuisha qebsite zao na kuwa updated kutawaongezea nguvu na mwananchi kuupata ukweli wa kinachoendelea nchini ontime.
 
Mkuu Mwiba ujumbe huu mzuri na viongozi wetu walichukulie kama changamoto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom