babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,121
- 27,212
Kwanini mnalazimisha wafanyabiashara kutumia huu mfumo mpya wa eFilling system kutuma VAT za kila mwezi huku mkijua kabisa huu mfumo bado una changamoto na haujakaa sawa bado?
Nimeona pia mfumo wa zamani tayari mmeshaufunga!
Hizi haraka haraka ni za nini?
Juzi kuna semina yenu mlifanya hapa Dar Es Salaam kupitia Smart ERP, hamuoni kuwa ile semina haitoshi na inawapasa kufanya semina zingine zaidi?
Huu mfumo mnaolazimisha wafanyabiashara wautumie una changamoto na unasumbua.
Unaweza kuwa ni mfumo mzuri lakini embu rekebisheni kwanza malalamiko mnayopewa.
Nimeona pia mfumo wa zamani tayari mmeshaufunga!
Hizi haraka haraka ni za nini?
Juzi kuna semina yenu mlifanya hapa Dar Es Salaam kupitia Smart ERP, hamuoni kuwa ile semina haitoshi na inawapasa kufanya semina zingine zaidi?
Huu mfumo mnaolazimisha wafanyabiashara wautumie una changamoto na unasumbua.
Unaweza kuwa ni mfumo mzuri lakini embu rekebisheni kwanza malalamiko mnayopewa.