Kwenu single Mamas na single Babas..

Kwenu single Mamas na single Babas..

Liverpool_Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2019
Posts
1,220
Reaction score
1,417
*Tambua SHERIA hizi juu ya MTOTO na MALEZI kwa wazazi WALIOACHANA/TENGANA...*

1. Sheria haimlazimishi baba kutoa malezi ya mtoto ikiwa baba hana kipato cha uhakika na mama anacho.

2. Ikitokea baba ametoroka malezi ya mtoto na mama akaolewa na mwanaume mwengine.
Ikitokea baba mtoto amerudi kudai mwanae, basi yule baba mlezi ana haki kisheria kwenda mahakamani kudai FIDIA kwa malezi yotee aliyogharamia.
Na baba mtoto atalipa yotee.

3. Baba mtoto anahaki kisheria kudai asilimia 100% ya malezi ya mtoto (kukaa na mtoto) ikiwa mama ataonekana ana mienendo isiyofaa kijamii (Mf; Ulevi, Umalaya, ......)

4. Wakati wa kukaa mbali kwa wanandoa (separation time during divorce process) baba hana ulazima wa kutoa gharama za malezi ya familia ikiwa hana kipato cha uhakika.
Na kama mama ana kipato cha uhakika basi anawajibu wa kumlea baba na mtoto mpaka mahakama itakapo toa hukumu ya talaka.

5. Ikiwa mama ameolewa/anaishi na mwanaume mwengine, na baba akahisi anatoa malezi ya kumlea mpaka mwanaume mwenzie, baba mzazi wa mtoto ana haki kisheria kwenda mahakamani kudai mahakama iangalie upya gharama za malezi (na yawe ya mtoto tu).

6.

7.

ONGEZA YAKO MWANA JUKWAA...

Love you all SINGLE MAMAs..
Mna mapenzi ya KWELI Sema ndio hivyo "LIFE IS FULL OF SHITS"

Mungu awabariki wote na KUTENDA yale MIOYO YENU inatamani.

#YNWA.
 
Sisi wachaga hatuna muda wa kwenda mahakamani tunachukua na kupita nao watoto wetu kama upepo
 
Not all the EUROPEANS are WHITE..!!
Wapo wenye HESHIMA zao na wanafaa kuwa wake wa kuweka ndani.

Wewe ni mmoja wao nini ??

Unawatetea unawajua vizuri hao wewe ?
Wanakuwaga watiifu sana ndani ya miaka mitatu ya mwanzoni kwenye mahusiano.
 
Hio sheria ya kwanza itawafanya mabaharia wazidi kukimbia zaidi
 
Back
Top Bottom