Kwenu ndg zangu waislam

Kwenu ndg zangu waislam

Mlundilwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2019
Posts
3,413
Reaction score
5,318
Wanajamvi hamjambo

Niende moja kwa moja kwenye mada, leo nilienda kwafundi nguo kushona nguo yangu asa wakati nipo pale kuna mazungumzo yalikua yanaendelea kati ya fundi na Mzee mmoja ambae ckujua jamaa alikua namahusiano gani na yule mzee

Yule fundi alikua anamwambia yule mzee masuala ya huko alikopelaka posa, eti ooh mzee kule ninakotaka kuoa yule binti kanitajia laki2 nimejaribu kumbembeleza lakini katia msimamo, hataki kunipunguzia

Nikajua huyu ni muislamu tuu na sivingine,

ndgu zangu waislamu hebu jaribuni kuwathamini hawa viumbe hata kama mmekuta washazibuliwa

Ikiwa hela ya posa inakushinda jee hiyo ndoa mtaiendeshaje acheni kufuata mkumbo kama hujajipanga si lazima uowe
Yaani mnachofikiria nyinyi ni ngono tuuu na sivingine

Nije upande wa mabinti, ukishaona janaume linalialia hivyo liblock achana nalo, linakuoa kwaajili yangono hilo na cvinge tena linataka uwe mtumwa wake
Narudia tena usiolewe na hilo chovyachovya

Siluhusu mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unajishtukia, alaf kwa upande wa mahari kwa mujibu wa dini ya Kiislam ni zawadi, haijaalishi laki 2, watu wanaolewa kwa makubaliano ya mahari ya Msahafu tu, kila mtu na uwezo wake, usilazmishe kila mtu atoe milioni wakati taratibu za mahari huzijui kwa mujibu wa dini hio, ungekuja kuuliza kwanza nn maana ya mahari kwa mujibu wa dini hio na sio kukurupuka tu apa
Bwana wee hilo povu nitakalo liambulia clipatii picha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unaona kama hiyo laki2 ndogo ili binti aolewe wakati wenzake huko india wanatoa posa ili waolewe

Kama analengo lakuolewa pesa mali si kikwazo, hua nawakubali waislamu kwenye swala la mali maana wamelirahisisha sana.

Ukienda kwa familia wanazosali binti anaweza kukwambia ulete kuran tu ndiyo isimame kama mali

Lakini huku kwa wakristo utapewa karatasi hata tatu zilizoorodhesha mahitaji ya kutoa kabla ya mali
 
Mbona unajishtukia, alaf kwa upande wa mahari kwa mujibu wa dini ya Kiislam ni zawadi, haijaalishi laki 2, watu wanaolewa kwa makubaliano ya mahari ya Msahafu tu, kila mtu na uwezo wake, usilazmishe kila mtu atoe milioni wakati taratibu za mahari huzijui kwa mujibu wa dini hio, ungekuja kuuliza kwanza nn maana ya mahari na sio kukurupuka tu apa

Sent using Jamii Forums mobile app
Swadaqta!!!!
 
Wanajamvi hamjambo

Niende moja kwa moja kwenye mada, leo nilienda kwafundi nguo kushona nguo yangu asa wakati nipo pale kuna mazungumzo yalikua yanaendelea kati ya fundi na Mzee mmoja ambae ckujua jamaa alikua namahusiano gani na yule mzee

Yule fundi alikua anamwambia yule mzee masuala ya huko alikopelaka posa, eti ooh mzee kule ninakotaka kuoa yule binti kanitajia laki2 nimejaribu kumbembeleza lakini katia msimamo, hataki kunipunguzia

Nikajua huyu ni muislamu tuu na sivingine,

ndgu zangu waislamu hebu jaribuni kuwathamini hawa viumbe hata kama mmekuta washazibuliwa

Ikiwa hela ya posa inakushinda jee hiyo ndoa mtaiendeshaje acheni kufuata mkumbo kama hujajipanga si lazima uowe
Yaani mnachofikiria nyinyi ni ngono tuuu na sivingine

Nije upande wa mabinti, ukishaona janaume linalialia hivyo liblock achana nalo, linakuoa kwaajili yangono hilo na cvinge tena linataka uwe mtumwa wake
Narudia tena usiolewe na hilo chovyachovya

Siluhusu mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza lazima ujue ustaarabu wa kuoa na kutoa mahari umekuja na waislam. Niambie yesu kristo unayemfuata wewe wapi kaoa na wapi katoa mahari. Au kama wewe unaamini kuna kuoa na kutoa mahari niambie unamfuata nani katika imani yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unaona kama hiyo laki2 ndogo ili binti aolewe wakati wenzake huko india wanatoa posa ili waolewe

Kama analengo lakuolewa pesa mali si kikwazo, hua nawakubali waislamu kwenye swala la mali maana wamelirahisisha sana.

Ukienda kwa familia wanazosali binti anaweza kukwambia ulete kuran tu ndiyo isimame kama mali

Lakini huku kwa wakristo utapewa karatasi hata tatu zilizoorodhesha mahitaji ya kutoa kabla ya mali
Ushasema India siyo Tanzania, kwanza hata huu utamaduni wanaoenda nao waislm ni wakiarabu kwasababu waarabu wao wanaoana wao kwa wao hivy hawaoni hasara hata wakimpa msichana bure muoaji kwani wanaamini ni ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndo wanaosumbua wenzao na kadi za michango ya harusi.kama una ubavu gharamia mwenyewe harusi yako.
Mbona unajishtukia, alaf kwa upande wa mahari kwa mujibu wa dini ya Kiislam ni zawadi, haijaalishi laki 2, watu wanaolewa kwa makubaliano ya mahari ya Msahafu tu, kila mtu na uwezo wake, usilazmishe kila mtu atoe milioni wakati taratibu za mahari huzijui kwa mujibu wa dini hio, ungekuja kuuliza kwanza nn maana ya mahari kwa mujibu wa dini hio na sio kukurupuka tu apa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom