ndiooo,sikupendi.tugawane hawa wadada washkaji.Mimi niachieni Marytina sababu naijua mwenyewe.
ndiooo,sikupendi.tugawane hawa wadada washkaji.Mimi niachieni Marytina sababu naijua mwenyewe.
aisee urafiki we2 sio wadada utakutosha sana,hawa wakaka usiwatafute kabisa,maana...!
Asante sn michelle kweli unanijari,oops kumbe sio theard yangu nimechangnya chumba.ngoja niangalie vzr then ndo niingieKaribu sana,nakupenda pia....tuko pamoja!
Asante sn michelle kweli unanijari,oops kumbe sio theard yangu nimechangnya chumba.ngoja niangalie vzr then ndo niingie
we nakupenda zaidi sema waga hujui kusoma alama na katikati ya mistari....l.o.l:hand:
Eksitensheni kebo l.o.l......halafu wewe si ni mbabu
Kaka, ukimtafuta LD anaweza kukuambia vizuri kama mimi ni m-babu au nikoje? Pia nilibahatika kuonana na Aspirin, na TEAMO
So far in this forum I have physically seen 3 pipo only
Tea-Mo aka Cofee-Mo anakupa hai