Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
tugawane hawa wadada washkaji.Mimi niachieni Marytina sababu naijua mwenyewe.
Kwani sisi tumekuwa kama mavazi ya Yesu waliyoyagawana?? Kwanza hajasema anagawana chochote hapa
tugawane hawa wadada washkaji.Mimi niachieni Marytina sababu naijua mwenyewe.
Lily the FlowerYou are welcome dear sisy Kituku.
Typo Erro, nitamtumia sorry yangu
Kwani sisi tumekuwa kama mavazi ya Yesu waliyoyagawana?? Kwanza hajasema anagawana chochote hapa
Dah....msisome hapo kwenye sis....Mbavu sina hapa, I doubt kama huyu ni dada) ni St.RR not Sis RR
Atakuja kukuchallenge..
Unaharibu taimingi zangu......Dada kituku, St. R.R ni PANDE LA M-BABA
edit hilo jina kabla hajaja
Typo Erro, nitamtumia sorry yangu
DA mwambie ukweli kwani pameandikwa wapi dili za kugawana kwenye hiyo sredi, nilipigwa na butwa.
Lily nimeshituka kuona hiyo post ya kugawana
Acha tu DA mambo ya mgao tena ni issue.
Mwenzangu ha ha mgao utafikiri tumemwambia tunataka kugawanwa
Kwani sisi tumekuwa kama mavazi ya Yesu waliyoyagawana?? Kwanza hajasema anagawana chochote hapa
Naona kasepa
Umeona eee mwambie ukweli wake
Usijali, I will, na lots of my excuses... nafahamu kukosea jina au jinsia ya mtu ni kosa kubwa..Sorry St RR mkuu
Sorry kituku....me don believe in sorries....easy easy.... after all keyboard haina jinsia.....maisha yanaenda..
Mtakatifu at work
Halafu hakuna mtakatifu katika majina yangu....St./Mt. yamaanisha street/mtaa....:A S 13::A S 13: