Kwenu Lissu, Mnyika na Zitto Kabwe

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Nawashauri mmoja wenu apeleke hoja binafsi Bungeni kutaka mikataba yote ambayo serikali inaingia kwa niaba ya wananchi kuanzia sasa iwe inapita Bungeni.

Pelekeni hii hoja muone kama itapita na kuingia ndani ya Bunge kujadiliwa na Bunge zima alafu ndio tupate fursa ya kujua kama kweli kina fulani wanaumizwa na haya yanayoendelea hapa nchini kupitia mikataba mbalimbali tulioingia.

Asiwadanye mtu.Uzalendo ni wakati wa kusaini mikataba na si baada ya hapo.

Naomba niishie hapa.
 
Nafahamu Hobby ya Tundu Lissu ni Kushinda Kisutu kila siku sina shaka na Hili atatusaidia tuu.
 
Nawashauri mmoja wenu apeleke hoja binafsi Bungeni kutaka mikataba yote ambayo serikali inaingia kwa niaba ya wananchi kuanzia sasa iwe inapita Bungeni.

Pelekeni hii hoja muone kama itapita alafu ndio tupate fursa ya kujua kama kweli kina fulani wanaumizwa na haya yanayoendelea hapa nchini kupitia mikataba mbalimbali tulioingia.

Asiwadanye mtu.Uzalendo ni wakati wa kusaini mikataba na si baada ya hapo.

Naomba niishie hapa.
Mkuu mbona umepanic
 
Mkuu, ushauri huu ungeenda kwa wabunge wa ccm ingekuwa poa. Kidogo huwa wanasikilizana. Maana kila linaloazishwa na upinzani huwa ngumu saana kukubalika.
 
Kama Hobby ya Tundu Lissu ni Kushinda Kisutu kila siku sina shaka na Hili atatusaidia tuu.
Kama kamati za bunge zinapiga dili,unatagemea watanyosha mikataba?kumbukumbu zinaonyesha Zitto aliwahi kujumuishwa kwenye kamati ya JK.hakurudi na findings tangeable.
 
Mkuu, ushauri huu ungeenda kwa wabunge wa ccm ingekuwa poa. Kidogo huwa wanasikilizana. Maana kila linaloazishwa na upinzani huwa ngumu saana kukubalika.
Mwambie huyo Salary Slip wapinzani wameshaomba sana hlo lkn wazee wa ndioooo wakawa wanabisha labda kwa vile mwenyekiti wao kasema ndo wataelewa. Tundu lisu na upinzan mpaka walitoka nje ya bunge kupinga hlo
 
Mwambie huyo Salary Slip wapinzani wameshaomba sana hlo lkn wazee wa ndioooo wakawa wanabisha labda kwa vile mwenyekiti wao kasema ndo wataelewa. Tundu lisu na upinzan mpaka walitoka nje ya bunge kupinga hlo
Jamani hivi sasa wana uchungu na hii nchi hivyo waacheni kina Lissu wajaribu
 
Nawashauri mmoja wenu apeleke hoja binafsi Bungeni kutaka mikataba yote ambayo serikali inaingia kwa niaba ya wananchi kuanzia sasa iwe inapita Bungeni.

Pelekeni hii hoja muone kama itapita alafu ndio tupate fursa ya kujua kama kweli kina fulani wanaumizwa na haya yanayoendelea hapa nchini kupitia mikataba mbalimbali tulioingia.

Asiwadanye mtu.Uzalendo ni wakati wa kusaini mikataba na si baada ya hapo.

Naomba niishie hapa.
Slip umefikiri mbali. This is a real test
 
Back
Top Bottom