Druggist
JF-Expert Member
- Nov 10, 2010
- 453
- 558
Huu mti uliota Shambani kwangu, Miaka 6 iliyopita.Mke wangu alikuwa anasimamia Ujenzi akataka Kukata, nikamwambia auache. Mwaka Jana ukatoa Maua mazuri lakini Yana harufu isiyovutia.
Punde Majirani wakawa wanaambiana Kwa Siri kwamba Kwangu Siyo Mahali pa mchezo, Pana ulinzi mkali. Nikachunguza nikagundua Matunda yake yanatumiwa Sana na waganga wa Tiba asili.
Nikagoogle ndiyo kujua Matumizi lukuki ya mti. Mti unaitwa Mwicha Maeneo ya Geita na Kanda ya Ziwa Kwa ujumla.Morogoro wanaita Muyegea. Kwa Kiingereza unaitwa African sausage tree.
Kisayansi unaitwa Kigelia africana.Naendelea kuutunza na kuacha uzidi kukua.West Africa wanautumia kuongeza makalio na matiti kuyafanya yarudi Saa 6!Pia ni anticancer. Kwenu/Kwako Pana Mti Gani?
Punde Majirani wakawa wanaambiana Kwa Siri kwamba Kwangu Siyo Mahali pa mchezo, Pana ulinzi mkali. Nikachunguza nikagundua Matunda yake yanatumiwa Sana na waganga wa Tiba asili.
Nikagoogle ndiyo kujua Matumizi lukuki ya mti. Mti unaitwa Mwicha Maeneo ya Geita na Kanda ya Ziwa Kwa ujumla.Morogoro wanaita Muyegea. Kwa Kiingereza unaitwa African sausage tree.
Kisayansi unaitwa Kigelia africana.Naendelea kuutunza na kuacha uzidi kukua.West Africa wanautumia kuongeza makalio na matiti kuyafanya yarudi Saa 6!Pia ni anticancer. Kwenu/Kwako Pana Mti Gani?