Utarudia kuanzisha huu uzi mara ngapi!?
Unataka ujue au yeye ajue ili iweje!? Maswali mengine bana!!!! :nono::nono::nono:
Tengeneza juice iliyochanganywa karoti, ndizi, nyanya kidogo na matango. Kunyweni mara baada ya chakula. Lazima kwenda haja kubwa, hivyo utakavyojisikia na mwenzako naye lazima ajisikie. Mwambie leo napakua mzigo haswaa tena kiulainiiiii, msikie anasemaje.
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!