Henzi tena?Vyovyote vile, nilisoma henzi hizo.
Sema uliteseka sana, wewe ungeenda tu Nairobi wakati wa kurudi ungeshukia unaposhukia kuokoa na nauli yakoPanda gari za Same, December route ya Moshi Arusha hawakati ticket za kushuka njiani.
Kuna Mwaka December nilikuwa naenda Moshi mabasi yote yamejaa ilibidi nikate ticket mabasi ya Nairobi Kwa nauli ya Nairobi lakini nilishuka Moshi.
Nauli yako si unataka uitumie vizurNafata nini Nairobi!
Same bado ni wilaya iliyomezwa na wilaya ya Moshi, kwahiyo Moshi inatumika kama base point kwa basi za mikoani, hata Mwanza sijawahi kusikia nauli ya Moshi Misungwi ikawa tofauti na Moshi Nyamagana/NyegeziNajua kuna Coaster vilevile, issue kwa nini hakuna nauli ya Same!
Kwahiyo kwa mantiki yako Korogwe au Muheza, n.k. hakuna nauli , nilifikiri zinapangwa kwa kilomita.Same bado ni wilaya iliyomezwa na wilaya ya Moshi, kwahiyo Moshi inatumika kama base point kwa basi za mikoani, hata Mwanza sijawahi kusikia nauli ya Moshi Misungwi ikawa tofauti na Moshi Nyamagana/Nyegezi
Same ni Moshi,Nauli ambayo wanaweza kukutoza ingwa nao ni wizi ni nauli ya Moshi,Hta hivyo nafikiri upangaji wa Nauli za mabasi ya Masafa hauzingatii kituo kituo bali unazingati Ruti za Basi.Mfano Mtu anayetoka Dar kwenda Tanga yapo mabasi Direct you Route hiyo.Haya mabasi ya Ruti ndefu hesabu zao zinapangwa kwa kuzingatia Ruti kwa Ruti na sio kituo kituo.Ila Mamla inagalie kama kuna namna wanaweza fanyaBaada ya kupotea kwa muda mrefu sasa nimerudi tena mjengoni.
Kwanza heri ya mwaka mpya kwenu wote! Yaani waibo wa naija tunasema 'UMUOFIA KWENU' unaitika 'YAA'
Leo napenda kuzungumzia kuhusu nauli kwenda Same,, nashindwa kuelewa kwa nini unalazima kulipa nauli ya Arusha wakati unaishia hapo Upareni, hivi mamlaka zinazohusika hawalioni hili!
Latra wako wapi au ni poshoposho to, Tarula na jeshi la polisi je, wao hawasafiri!!?
Mnasemaje wanajamii kuhusu hili?